Kweli kabisa mkuu. Ukiona mtu anaandamwa sana chunguza kwa makini. Wale mawaziri ambao wako serious wana andamwa sana na shutuma. Hii yote ni kwa lengo la kuwavunja nguvu. Naamini Rais Magufuli anawaelewa vizuri mawaziri wake na hawezi kufanya maamuzi kwa kukurupuka.
Team Dau na team sembe kazini. Mwaka huu povu litawatoka.
Mlitaka Dau abakie NSSF milele? Eti Kitwanga alihusika kuvunja bodi!
Sasa hivi hela za sembe hakuna. Hamieni Uganda au SA
Jamani nyie wauza sembe sasa tumewachoka. Kila kukicha ni tuhuma za kumchafua Waziri wa Mambo ya Ndani. Sasa hivi mmedhibitiwa mnahaha kila kona.
Hivi kwa akili yenu hata Waziri akijiuzuru mnadhani mtapeta tena kama enzi zile?
Leteni tuhuma zenye ushahidi basi.
Hivi mnaona Magufuli ni mtu...
Leteni picha zao wote watachukuliwa hatua. Sasa kama mnaishia kusema bila ushahidi mnataka nini kifanyike?
Huyu kakamatwa hakuna sababu ya kumwachia. Iwe ni fundisho kwa wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.