Kuna watu wana zero za form six wako pale halafu mtu anauliza cv!!!BOT haihitaji CV kali sana bali connection kali sana hivyo usipoteze muda kutaka kuona CV ukidhani kwamba ukiwa nayo nawe utaula.
Kuna watu wana zero za form six wako pale halafu mtu anauliza cv!!!BOT haihitaji CV kali sana bali connection kali sana hivyo usipoteze muda kutaka kuona CV ukidhani kwamba ukiwa nayo nawe utaula.
Hawana undugu wowote mkuu. Unaweza kuthibitisha ukisemacho? Kitwanga msukuma was misungwiKitwanga ni ndugu yake Magufuli kabisa, so sahau chochote hapo
Jinsi ulivoelezea hapa nina shaka una chuki binafsi tu. Ulimsikia wapi akijitapa kua yeye ni ndugu wa raisi Na kwamba hawezi fukuzwa? Sidhani kama Kuna ukweli hapo.
Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga. Ambaye amekuwa akilipwa BOT kwa miaka zaidi ya 6 bila kufanya kazi yoyote ile. Tusisahau kuwa ndiye waziri ambaye kazi yake ni nyeti sana lakini pia yumo kweli listi ya Magufuli ya BOT.
Huyu anasema ni ndugu yake Mhehsimiwa Rais Mgufuli hivyo yeye ni "UNTOUCHABLE" na hata kama Rais Magufuli anao ushaidi kuonyesha kuwa ni fisadi hakuna ambacho Mheshimiwa Rais anaweza kumfanya.
Sasa cha kujiuliza ni je Magufuli katika kusafisha kwake ataweza kumsafisha ndugu yake mwenyewe?
Mbunge VICKY KAMATA naye yumo kwenye listi ya ufisadi na malipo ya BOT
Hivi Magufuli anasubiri nini kuwawajibisha hawa watu ambao hawana nia nzuri na nchi hii?
Hao walishabanwa kuchat saa za kazi. Nadhani wako ujenziWale vijana wa lumumba mbona siwaoni wakisema chochote ktk uzi huu?
Cc lizaboni,Faiza foxy,GENTAMYCINE,barafu ya moto et al.
Mwanzoni nilishangazwa na kiwango cha ufisadi. Sasa hivi sishangazwi na chochote. Anything is possible. Watanzania ni walafi sana.Inafahamika tatizo la wafanyakazi hewa maofisini ni kubwa tz Na wanaokula hizo hela ni wahusika wakubwa wa ofisi hizo. Hivi inakuingia akilini Kitwanga muda wote tangu atoke bot ni waziri Na mbunge alikua Ana shida Na mshahara wa bot aliouacha akafuata ubunge? Ukiachilia mbali uwaziri kwa muda wote Huo yeye Ana kampuni kubwa tu. Huu uzi ni kelele za chura tu hazimzuii tembo kunywa maji. Magufuli anafahamu kua huyu hakuwa akila mshahara was bot tangu aache kazi so msitegemee chochote. Uzi wenyewe umeandikwa kwa chuki binafsi. Lete evidence kwamba hela ilikua inaingia kwenye account yake monthly. Kama zilikua zikilipwa basi zilikua zikipigwa juukwajuu Na watu wa utawala pale pale bot Na kama hiyo ni kweli basi watakaotumbuliwa ni was bot wahusika. Usitegemee waziri huyo atatumbuliwa eti alikua akila mshahara wa kazi asiyoifanya. Hapo mleta mada umegonga mwamba.
YE NI MSAFI????????????Kama kuna wasafi ccm basi atakuwa Magufuli pekee. wasiwasi wangu ulikuwa 'magufuli atapata wapi safu yenye nia njema yakiliongiza taifa hili?'.
kweli....Hao wana kigango wenzake hawezi kuwagusa, miaka 10 hii tutashuhudia rais wa hovyo kuwahi kutokea nchini
Well said, na vetting sasahivi inafanywa kwa nguvu zote... kuna watu wanafanyiwa vetting wamebakiza miaka 3 wastafu...unajua enzi za JK ulikuwa unajua nothing will happen
Huyu Magu inaelekea hakuwafanya au hakufanyiwa vetting hawa watu wake
Huu ni ukweli mtupuNawahurumia sana mnaomuamini Magufuli.
Kama ni wewe ungefanyaje? Umeikuta nchi nzima uozo, kila Idara, kila Wizara kila....kila. Haiwezekani kusafisha kila kitu, tena kwa miezi michache.Sio muda mrefu ujao Watanzania watakuja gundua kuwa uongozi wa Magufuli ni mbaya na ni wa unyanyasaji kwa wanyonge lakini pia wa Upendeleo kwa baadhi ya wanaccm.
TUSUBIRI TUONE.
Kitwanga ni Untouchable sababu ya Uhusiano wake na JPM,
Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga. Ambaye amekuwa akilipwa BOT kwa miaka zaidi ya 6 bila kufanya kazi yoyote ile. Tusisahau kuwa ndiye waziri ambaye kazi yake ni nyeti sana lakini pia yumo kweli listi ya Magufuli ya BOT.
Huyu anasema ni ndugu yake Mhehsimiwa Rais Mgufuli hivyo yeye ni "UNTOUCHABLE" na hata kama Rais Magufuli anao ushaidi kuonyesha kuwa ni fisadi hakuna ambacho Mheshimiwa Rais anaweza kumfanya.
Sasa cha kujiuliza ni je Magufuli katika kusafisha kwake ataweza kumsafisha ndugu yake mwenyewe?
Mbunge VICKY KAMATA naye yumo kwenye listi ya ufisadi na malipo ya BOT
Hivi Magufuli anasubiri nini kuwawajibisha hawa watu ambao hawana nia nzuri na nchi hii?