Akili huna wewe hivi kimara unaijua au unaushia kuropoka upate mme humu?????? Makapuku kinara? Kuwa na aibu na fanya research.....wewe tajiri uchwara sasa umejigarantee hata kifo umenunua uhai wa kudumu hautakufa? Mijitu mingne jmn NA UKIFUATILIA NI LILIMBUKENI TU LIMEPATA KAUNAFUU LIKIWA NA...
Kama kuna mhusika humu naomba alibebe hili. Ni kwamba hii barabara ina kilomita chache sana ambazo sidhani kama zinafika 10 lakini miaka yote ni bora hata ya kijijini na ukizingatia mamia ya magari yanayopita hapa kwa wiki.
Ni barabara kubwa tu ambayo inaunganisha njia kuu za kutokea Salasala...
Huyo kaharibiwa na weupe Wala sio kuwa karrshwa,sema Kuna kitu virus kamezeshwa ili ajilaumu kumbe Ni mbinu za kutokuwa na black wa ivyo. Wazungu nyoko sana
HABARI WADAU
Naombeni kujua kuhusu SELFORM (O'LEVEL)
je, kwa hawa wanafunzi WALIOPO NYUMBANI Kwamba wanaweza kujaza wenyewe au lazima warudi tena shuleni walikosoma?
MANAKE WENGI WAKO MBALI MNO KWASASA NA SHULE.
.ASANTE
Usijali, muombe msamaha na ahidi kuacha michepuko na pia ACHA KABISA KUCHEPUKA ni Dhambi na pia unachotafuta kwa mchepuko ni hikohiko upatacho hapo kwa mkeo, na hata kama huyo mchepuko angekuwa mke wako UNGECHUPUKA TU. So hio ni tabia ya kuiambia STOP!
Usijali, muombe msamaha na ahidi kuacha michepuko na pia ACHA KABISA KUCHEPUKA ni Dhambi na pia unachotafuta kwa mchepuko ni hikohiko upatacho hapo kwa mkeo, na hata kama huyo mchepuko angekuwa mke wako UNGECHUPUKA TU. So hio ni tabia ya kuiambia STOP!
For medical experts only!
Please I'm in need to be familiar with THE POSITIVE AND NEGATIVE EFFECTS OF CAFFEINE in human bodies.
Please answer either in Swahili or English.
Thanks
Hapana hata wewe hukujua mwenyewe, uliambiwa, na sio kila kitu unatakiwa ujue, tunajua kitu pale tukiwa katika uhitaji wa kujua, tz tuna shida sio kidogo, hata wale wanaojua English unakuta wanadharau wasioojua
No sio ivo kabisa, ata wewe ulijua ulipoambiwa. Hua tunajua kitu pale tunapohitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.