Huwa ndg alikuwa mchochezi wa kidini UDSM na hata alipokuwa waziri wa elimj. Alilisha maneno kuwa wakristo wanapendelewa sana. Lakini hakutambua pia ufaulu wa shule za kiisalamu ulikuwa mdogo sana ukingilisha na ukristo. Atakumbukwa kwa hilo
Lipo jambo la kujifunza. Kwa viongozi, mnaweza kuwamiza sana viongozi kwa chini kutekeleza kazi majukumu yao. Kwa viongozi wa chini, fanya yaliyo katika majukumu yako
Dialo ni wa kupongezwa aidha kazungumza uongo au kweli. Awamu ya tano ilikuwa ngumu sana. Najaribu kutafakari:
1. Kulikuwa na maamuzi ya pamoja? as team ya uongozi? kwa nini mradi wa bagamoyo umerudi
2. Kwa nini mashehe wa uamsho wameachiwa
3. Kwa nini sabaya amechukuliwa hatua sasa si wkt ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.