Point less kimtazamo rais heeyote au boss wa ofice yeyote kuwa mkali baada ya kuona mambo yanaharibika nisawa kazi kubwa anayo Dr John Magufuli ya kurejecha heshima ya chama chake kwa kuleta maendeleo
Kwakweli aliyeweka kigezo cha urembo au kuwa handsame ni urefu aliwakosea watu wengi sana duniani isingelikuwa kigezo hiki ni matumaini mtu kama Lulu Michael angekuwa miss TZ leo.
Matumaini haya yanaambatana na kasi ya utendaji wa rais wa Jamhuri hii, wengine wakijiuliza tutafika?
Katika watu waliomzunguka wanapendezwa na hali hii ikiwa wana roho safi tutasonga mbele, lakini pesa zinazookolewa na rais zitatumika kuwasaidia walipa kodi wa chini kabisa. Matumaini yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.