Tec ningewaona wa maana endapo wangeshauri urekebishwaji wa baadhi ya vifungu ambavyo havina tija kwa taifa, mathalani ukomo wa mkataba. Lakini wao wameshupaza shingo kwamba hawautaki kabisa sasa sijui kuna nini nyuma ya pazia
Na wenyewe ni yale yale tu wapigaji, kama hawawezi kujua kiasi walichopata kwenye kampain yao ya join the chain watatuambia nini kuhusu ufisadi? Yaani hii nchi sina imani na wanasiasa kutoka chama chochote kile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.