Recent content by Abdy Misen

  1. Abdy Misen

    Naomba msaada kulielewa jambo hili

    Nakujibu kama ifuatavyoo 1.Swali kwamba Mungu alikuwa kasimama wapi usijisumbue kujiuliza maana hutapata jibu ila ni yeye tu wa Kukujibu kwa hivyo Kaza mwendo kumuamini ukifika Mbinguni utamuuliza lakini ntakusaidia kidogo hapo soma Mwanzo 1:2 "Nayo nchi ilikuwa ukiwa ,tena utupu ,na giza...
  2. Abdy Misen

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    chukua harvetz chukua nketiah tupa kulee awa watu nashindw kuelew ata kwann hawaumii watoke kabisaa
  3. Abdy Misen

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huwezi kutegemea ubingwa kwa straika nketiah yaan solution ni wamwage pesa mwez wa 12 tupate straika wa maan huwez kumchukua harvetz et awe straika ni utopolo mtupu kwa arsenal bado hatuwez kubadili mambo scouting ya wachezaj ni mbovu saana
  4. Abdy Misen

    Waliokosa mikopo miaka ya nyuma mpo wapi?

    Pole na Hongera mkuu naona ss ndio njia ninayoiendea
  5. Abdy Misen

    Waliokosa mikopo miaka ya nyuma mpo wapi?

    nina mashaka saana kama wahusika wa Bodi wana uelewa wa hakika yale ambayo wanafunzi tunayapitia pengine wao hawakusoma katik mazingira magumu kwa hivo kwao inakua vigumu kutathmini uhitaji wa mtu na kuamua kusingizia vigezo
  6. Abdy Misen

    Waliokosa mikopo miaka ya nyuma mpo wapi?

    Wakati mwingine nadhan wazazi waliosomesha watoto wao private wanafaa kupongezwa saana maan wamejinyima meeng saaan na kupambana kwa kila hali ili mtoto wao asome lakin bado serikali inakosa fadhila hata kwao na kuona wana uwezo wa kuwasomesha hata Vyuoni
  7. Abdy Misen

    Waliokosa mikopo miaka ya nyuma mpo wapi?

    Daah Hongera na pole pia ambacho naona hapa tunapewa elimu inayotufanya tuwe tegemezi na sasa inapofika muda unategemea bodi ya mikopo ndio unapigwa tiktak ambay unaweza hisi dunia nzima haipo na wewe kabisaaa
  8. Abdy Misen

    Waliokosa mikopo miaka ya nyuma mpo wapi?

    Mimi ni mwanafunzi niliemaliza kidato cha 6 mwaka huu na kama kawaida niliomba mkopo kwa sabab natokea katika familia duni ili pengine niweze kuokoa jahazi nyumbani na kipindi tunasoma tuliaminishwa kuwa kufanya kwetu vizuri kungetupa fursa nzuri ya kupata mkopo ndio tumefanya vizuri lakini...
  9. Abdy Misen

    Live Kutoka Mbinguni/ Welcome back to Heaven

    Unapaswa kuchunguzwa wewe haupo sawaa ila ipo siku utaregret
  10. Abdy Misen

    Live Kutoka Mbinguni/ Welcome back to Heaven

    Baada ya kuona tu haukumbuki miaka uliokuwa nayo ila unakumbuka hio ndoto sina haja ya kuendlea kusoma ulichoandika [emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom