Recent content by abdulkarimjuma

  1. A

    Askofu Stephen Munga: Mdude CHADEMA karibu tena duniani

    Mamlaka ya shetani lazima ikemewe mzee
  2. A

    Kila atakayejaribu kuwagusa ma drug dealers lazima ayumbishwe

    Mtetee kama tetea jogoo sio wazuri
  3. A

    Kila atakayejaribu kuwagusa ma drug dealers lazima ayumbishwe

    Kwann wapo mtaani maana hadi wewe umewajua hakuna sheria ya kuwafunga au ndo ule utaratibu wenu wa kuropoka bila uthibitisho
  4. A

    David Kafulila: Uzoefu wa IMF kupika takwimu za uchumi inapotofautiana na Serikali husika

    Bro unachoweza kusema kinaweza kuwa kweli lakini matendo ya serikali ya awamu ya tano kutopenda kukosolewa ndo yanayowafanya watu waliamini maneno yako pia report hupingwa kwa kufanya tafiti na kutoa ripoti mbadala sio kupinga tu sasa mbona zilizokuwa zinasifia miaka ya nyuma mlizipokea kwa...
  5. A

    Askari Polisi anashililiwa kwa tuhuma za mauaji ya kijana Waziri Dhamiri

    Inasikitisha sana kuwa na taifa linalonawa damu za raia ila naomba niwakumbushe jeshi la polisi kuwa hizi damu wanazomwaga haziendi Bure ipo siku watazilipia kwa gharama yeyote ile sis sio wajinga bali ukimya wetu utatoa tafsiri siku moja
  6. A

    Serikali kutochapisha takwimu za kiuchumi: Ifahamu IMF

    IMF ni taasisi ya fedha ambayo imejikita kutoa fedha kwa nchi mbali mbali hususan hiz za Africa ambazo zina matatizo mengi lakini zina rasilimali nyingi lengo ni kutengeneza mfumo wa utegemeanaji na muingiliano wa kiuchumi kwakuwa walioendelea wa teknolojia na sisi tuna rasilimali. Sasa mfumo...
  7. A

    IMF: Uchumi wa Tanzania hautabiriki, mfumo wa ukusanyaji takwimu haueleweki

    Mpe shule maana hao wanafikir kwa kutumia tumbo
  8. A

    IMF: Uchumi wa Tanzania hautabiriki, mfumo wa ukusanyaji takwimu haueleweki

    Nenda class utapewa tafsir ya ukuaji wa asilimia 4
  9. A

    Askofu Bagonza(PhD): Tanzania yenye amani na umoja ni tunda la dini zote, itikadi zote, makabila yote na jinsia zote

    Wenye akili fupi watakukejeli bila kujua umuhimu wa taasisi za dini katika ukuaji wa taifa huru na salama hongera askofu maana wanasiasa wanapenda sana kujifanya wanaumizwa na matatizo ya watu kumbe kufa kufahana
  10. A

    Tunaitoaje CCM madarakani?

    Ccm ishakufa wamebaki kulindwa na tanpol ambao soon tutawashughulikia tupo tunawaandalia dawa Yao
  11. A

    Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

    Na ukiona mtu anaandika ujumbe kama wako ujue ni mshabiki wa faru ndungai ambaye uwezo wake as kufikiri ni mdogo anaongoza chombo cha kutunga sheria lakini hajui katiba akili za wana ccm ni ndogo sana
  12. A

    Tusiwape nafasi vibaraka na makuadi wa mabeberu

    Hawezi kujibu huyo ni malaya wa kisiasa anayetoa majibu mepesi kwenye maswali magumu mzee ccm imekufa imebaki kulindwa na tanpol ila soon watapata habari yao
  13. A

    Tusiwape nafasi vibaraka na makuadi wa mabeberu

    Mnaacha kujibu hoja za CAG mnaanza kusingizia mabeberu mnajifanya mmesahau kuwa ccm ndo mlopwaleta hao mabeberu na kuwapa rasilimali wavune watakavyo bro nyie mmechoka kuongoza taifa hili kwakuwa mmegoma kuondoka kwa box la Kula time will tell ccm haijawah kumtetea mtanzania bali utetea maslah...
  14. A

    Hatimaye CCM walitwaa Jimbo la Nassari, John Pallangyo apita bila kupigwa

    Ccm time will tell soon mtavuna mnachopanda
Back
Top Bottom