IMF: Uchumi wa Tanzania hautabiriki, mfumo wa ukusanyaji takwimu haueleweki

Ni wazo lenye tija kwa manufaa ya umma!

Badala ya sadaka kutafunwa na wachache ((mume, mke na watoto) yaani familia bora na wenzetu nao walipe kodi !
Vinginevyo kuwepo na bodi ya wadhamini na uwezi kwa waamini ktk kujua kiasi kinachokusanywa na namna zinavyotumika na waumini wapewe haki ya kuhoji kuhusu sadaka zao!

Go Anko Magu go on this!

Unadhani makanisa hayatengenezi hesabu zake na kukaguliwa? You are myopic by concluding every church equates to the likes of Lusekelo's church.
 
Nimekuuliza hivi; unadhani makanisa yote yanaendeshwa kama kanisa la Lusekelo?



Kwanza naomba kutoa angalizo:
Nazani si vema kutaja majina ya watu!
Tujadili ktk general context!
Labda tusema pengine makanisa ambayo yanamilikiwa na watu binafsi yaani yale ya mwendo kasi ambayo mwamini akijaribu kuhoji chochote anatengwa!

Though tukiingia ndani zaidi hata yake makanisa ya zamani nayo yana maishu vilevile
 


Kwanza naomba kutoa angalizo:
Nazani si vema kutaja majina ya watu!
Tujadili ktk general context!
Labda tusema pengine makanisa ambayo yanamilikiwa na watu binafsi yaani yale ya mwendo kasi ambayo mwamini akijaribu kuhoji chochote anatengwa!

Though tukiingia ndani zaidi hata yake makanisa ya zamani nayo yana maishu vilevile

Hayo "maishu" ndio yana-justify serikali ku-classify sadaka kuwa ni taxable income?
 
Magu kazaaaaa naona Mabeberu wameshaanza kukuelewa. Sisi kama nchi huru tuna haki ya kuamua na kusema uchumi wetu unakuwa kwa % tunayoitaka. Tuiamini serikali yetu ya Mh. Magufuli, hata ikisema uchumi wetu unakuwa kwa 20% tuiamini. Huo ndiyo ukweli wenyewe. Hao IMF ni mabeberu tusiwaamini

 
Hayo "maishu" ndio yana-justify serikali ku-classify sadaka kuwa ni taxable income?

Kabla sijakujibu swali lako naomba tuwekane sawa kwanza;
Kama nimekuelewa vizuri ni kuwa wewe pengine unaonelea kuwa kama sadaka za kanisa zitatozwa kodi basi iwe kwa makanisa yale ya watu binafsi na siyo yake ya zamani au siyo?
 
Hayo "maishu" ndio yana-justify serikali ku-classify sadaka kuwa ni taxable income?

Kwakuwa kodi ni malipo ya lazima yanayolipwa na mtu ikiwemo kampuni kwa serikali toka kwenye jumla ya kipato kitokanacho na :
1. Ajira
2. Biashara
3. Kitega uchumi

N.k
 
Nimekuuliza hivi; unadhani makanisa yote yanaendeshwa kama kanisa la Lusekelo?

Samahani nilishauri kutotaja majina ya watu lakini najua huyo wengi hupenda kumtaja kwa kauli zake tata ambazo wengi huzitafsiri kama vile ni kebehi au dhihaka flani kwa kuzingatia kuwa yeye ukwasi alonao wenyewe unatokana na sadaka za waamini ambao wengi wao wamechoka ile mbaya!
Mfano aliposema kuwa , nikimnukuu kuwa “kukosa kuwa na pesa ni ufala”
Sijui alisema “mwanaume kukosa kuwa na pesa ni ufala”
 
Mkuu umewahi kuvuka mpaka wa Tanzania?Yaani hadi hao mebeberu wanyoke wewe tumeshakurestisha pale kinondoni,as we speak Bei ya patrol pale Washington DC na New York ni USD 2.40 kwa gallon hapa kwetu ni dollar 1 kwa Lita nani ananyoka?
Stupid comparison , kwa nini usiangalie cost of living index kati ya nchi tajiri duniani na kiinchi maskini duniani, basically yr stupid
 
Stupid comparison , kwa nini usiangalie cost of living index kati ya nchi tajiri duniani na kiinchi maskini duniani, basically yr stupid
Nahisi Kama umedandia Lori kwa mbele vile? Anyway pole yako
 
...huwezi kuficha moto maana moshi utakuumbua. Jiwe nchi imeshamshinda rasmi. Walutheri wenzangu mtakuwa mmeona mabadiliko kwenye utoaji wa sadaka (nilipo hizi wiki tatu zilizopita sadaka ni moja tu badala ya tatu hadi tano tulizokuwa tumezoea hapo zamani).

Taarifa zilizopo ni kuwa serikali imeyaambia makanisa kuwa sadaka ni "taxable income" kwa maana hiyo makusanyo yote ya sadaka yapelekwe benki intact kabla ya kutumia.

Ni Utawala uliofitinika na kulaanika huu.

Ahaaa haaa haaa
Hayo ni ya kusadikika tu. Maana huwezi kuthibitisha.
 
Sera za magufuli itategemea asubuhi ameamkaje hao IMF inabidi waelewe tu.
 
Kuna mtu anapenda kuambiwa habari nzuri tu mbaya hazitaki so kila akienda sehemu TRA na wizara zake huwa zinamdanganya ila aendelee kukenua.Pia wandanganya ili wasitumbuliwe so matokeo yake tutajikuta tumecolapse kiuchumi huko mbeleni.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Unadhani makanisa hayatengenezi hesabu zake na kukaguliwa? You are myopic by concluding every church equates to the likes of Lusekelo's church.

So far haipaswi kuishia kuandaa hesabu tu bali ingefaa kuwe na utaratibu wa ukaguzi regulary !
 
Inabidi jiwe aende pale udsm akapige hata intro ya macroeconomics ajue basic principles za uchumi ili aache ubishi anaposhauriwa na wataalamu wake.
Kiingereza hawezi kusoma na kukielewa...unataka mtu adisco hata hio introdction?
 
Mkuu umewahi kuvuka mpaka wa Tanzania?Yaani hadi hao mebeberu wanyoke wewe tumeshakurestisha pale kinondoni,as we speak Bei ya patrol pale Washington DC na New York ni USD 2.40 kwa gallon hapa kwetu ni dollar 1 kwa Lita nani ananyoka?
Ila 1 US Gallon ni sawa na 3.75 Litres sasa unanunua lita 3 kwa USD 2.40 halafu unawaona waliopo NY wananyooka akili hizi umezitoa wapu ewe mwanaLumumba?
 
Hii haiko sawa,

Wanasema hawapati data toka kwa reliable sources. Sasa reliable sources ni zipi, kama sio NBS ambao ndio hao hao serikali? au wanataks data za Zitto, Twaweza?

Kwanini wanatoa taarifa yao Just 2 days baada ya WB kuahidi kutoa Trilion 1.4 na Japan kuahidi kutoa Billion 789.

Kwanini IMF waseme hawawezi ku-comment kwenye leaked information?

Hii kitu yote ina harufu ya watu wanaotaka kudestroy image ya nchi. Hawataki kusikia mahusiano mema baina yetu na WB, Japan, etc etc...

Mungu ibariki TZ.
Sasa IMF na WB si ni mtu na mdogo wake..
 
Back
Top Bottom