Recent content by Abdul Bilal

  1. Abdul Bilal

    Channel za Tanzania

    Habari wakuu, nipo nje ya Tanzania ila napenda sana kuangalia channel zake. Nimejitahidi kutafuta dish ambalo litakuwa lina beam zavTz nimekutana na hilo pichani. Sasa naomba msaada wa haya. 1. Dish liwe la size gani? 2. Ni kweli local channel nitazipata? Natanguliza shukran zangu. Sent...
  2. Abdul Bilal

    Huawei inasumbua... Msaada plz

    Habari.. Ebana nina huawei G630 hapa.. Imegoma katika rescue mode. So kuna msaa wowote naweza pata.. Ili irudi sawa. Asnte
  3. Abdul Bilal

    Kuona android screen kwenye laptop

    Tatizo hii cast haipo katika simu zote Mfano mm haina kabisa ni Huawei Honor 7x
  4. Abdul Bilal

    Kuona android screen kwenye laptop

    Habari Wakuu kuna mwenye kunisaidia namna ya ku view simu yangu kwa full screen ya laptop? Yani niplay kitu kwenye simu kisha nione kwenye laptop
  5. Abdul Bilal

    Msaada wa Link

    Habari wakuu, kama kuna mwenye link ambayo nitaweza kushusha Series ya Naagin msimu wa pili, anisaidie, Shukran.
  6. Abdul Bilal

    Msaada: Niko njia panda binti kaniambia kazaliwa na HIV na nimemgonga peku peku

    Kama uliweza kumtoa na kumpeleka Lodge na kuvunja amri ya 6, unashindwaje kumtka kwa ajili ya kupima???? Sema ww mwenyewe unasita kwenda, so unakosa nguvu ya kumtoa. Ila kazana kama ambavyo ulikazana katika kutafuta game. Kapimeni.
  7. Abdul Bilal

    Naomba msaada wa quote link ya thread

    Naomba msaada wa quote link ya thread
  8. Abdul Bilal

    Msaada OGINSTAGRAM

    Aisee hii Oginsta naona inakataa kutuma sms direct, inanambia ni Update. Na nikifuata sehemu ya ku update nakutana na play store ambapo insta ya kawaida iponUpdated. Msaada
  9. Abdul Bilal

    Msaada wa kutengeneza beat kwa kutumia FL studio

    Daa mkuu umemvunja moya kabisa, mm naimani jamaa alikuja na anuani ya kwamba umsikilize kisha umwambie wapi aongeze kama kakosea. Means kwamba amejua hakufanya kwa level ambayo inatakiwa kufanywa.
  10. Abdul Bilal

    Msaada: Azam Tv app kila nikifungua inasema something went wrong

    Msaada waungwana Azam tv app kila nikfungua inasema something went wrong. Nn tatizo????
  11. Abdul Bilal

    Aslay na Nandy wasaini dili la Mamilioni Tatu Mzuka.

    Mkuu hukusoma vizri ibara, mamilioni ww ukadhanj milioni, ukaunganisha na tatu ukapata milioni tatu.
  12. Abdul Bilal

    Mtoto genius aendesha ndege na kuwashauri marubani, upande wa Tanzània genius ni yule mtaja majina ya kina Makonda, aibu

    Mm naomba watu watafute historia na sababu ya huyo dogo kwenda Etihad na kupewa heshima
Back
Top Bottom