Recent content by abdjay

  1. abdjay

    Chit-chat Ladies Help Me! Only Ladies Please!

    Inaelekea kwamba unauliza swali ambalo jibu lake unalifahamu ila unatafuta kuungwa mkono tu. Mimi simtetei huyo bibi yako ila nimeona kwamba wewe mwenyewe inabidi urekebishe tabia zako. Usipende kufanyia watu mambo ambayo ukifanyiwa wewe mwenyewe hutofurahi. Kwa nini unapekua begi la mtu bila...
  2. abdjay

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Mh, kama hujiamini kwa kiingereza kwa nini unajiumbua? Si ungumalizia kwa kiswahili tu?
  3. abdjay

    jaman nikaribishen bhana!

    Lango iko vazi kwani wewe hapana ona? Ingia dani bana kubwa.
  4. abdjay

    Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

    Ufanyeje? Kwani unahitaji kwenda shule kufundishwa jibu la swali lako? Jifikiri hilo unalotaka kufanya kama lingekufurahisha kufanyiwa wewe. Asikuongopee mtu brother suala la mkeo kumegwa ni suala la hatari sana. Linaweza kusababisha vifo, maafa, udugu kuvunjika na hata nchi na nchi kupigana...
  5. abdjay

    NAPENDEKEZA: Wanajamvi tuliopo Dar na wale watakaopenda TUKUTANE

    We mshamba nini? Kwani wewe wazee unawafikiriaje, hawafai kuwa katika jamii? Na hasa tufahamishe ni kitu gani ambacho unakifikiria (insinuation) hata unafikiria kufanywa hapo, mpaka unatia hofu kuwapo kwa wazee ukumbini.
Back
Top Bottom