nahisi sana kuwa system ya nchi imehusika kumpiga risasi.kwakuwa alilalamika kuwa anafuatiliwa na watu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anapoomba pesa haina maana kuwa yeye hana pesa , hivi hata angekuwanazo angeomba tuu, au yupo tayari akachukue mshagara halafu aanze kukuomba kidogokidogo.
Mwanamke ni tegemezi kwa mwanaume
MAJIBU KWA MASWALI YAKO MUHIMU
Hongera sana kwa jitihadazako za kufuatilia kiundani sana siasa za Tanzania, hakika wewe nunaonesha hali ya kuwa ni mwanamapinduzi hodari.
1.Ushirikiano huu umeanza leo kwakuwa CHADEMA ni chama makini kinachosoma na kufuata ishara za nyakati.CHADEMA imeona sasa...
Nadhani hiyo ni hali ya kawaida kwa watuwaliozoeana na kuwa karibu sana, hivyo mmoja wao anapojisikia shida fulani kiafya na mwenzake pia anaweza kuathirika kisaikoloja na kujisikia hali kama ya mwenzake.kumbe na wewe huyo ni mke wako ni mwili mmoja, pengine mnashirikiana vitu vingi hivyo na...
asante sana wewe sijui dada au mamdogo, tufafanulie wazi je unataka ukuu wa wilaya maana JK ni maarufu sana kwa totoz, je na wewe ni moja wa hao totoz hadi umtetee hapa hadharani. Je alivyo vurunda kwenye kuzindua bunge la katiba hukumwona?
Hatupaswi kuwa na mtazamo hasi kwa maendeleo ya wenzetu, tuelewe wazi kuwa barabara nzuri ni njia ya maendeleo.Umeshasema kuwa wageni ndiyo wanaotumia hizo barabara kwenda kununua ardhi, kwa upande wangu hiyo pia ni element nzuri kama hao wageni ni Watanzania wenzetu ambao wanaenda kujenga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.