Recent content by ABDALLAH CHAKA

  1. A

    Hivi mbona ndege ya jeshi la marekani( c-17 globemaster) route zake haziishi kwenye anga letu

    jeshi letu la anga linasemaje? au hawajaiona? au wanaiogopa? je na cc tunaweza kupeleka ndege yetu ikazurure zurure kwny anga la washington?
  2. A

    Upi Ukweli juu ya kifo cha Yesu?

    kwani huyu simon mkirene, ndiye nani? na asili yake taifa gani?
  3. A

    Waumini wa kikristo mnafuata muongozo gani? Nijibu maswali haya

    kwani google naye ni muumini wa kikristo?
  4. A

    Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

    umeandika kama unaogopa vile. andiko lako limekosa muandishi
  5. A

    Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

    98, 99. Biafra secondar school. Zamani ikiitwa goliyo. Gospel and right for youth. Nilisoma na shoga moja maarufu pande za kinondoni, akiitwa aunty bilali. Alikuwa anatumia choo cha wanawake tu. Sijui kwanini aliogopa kuchangia choo na wanaume wenzake?
Back
Top Bottom