There is no significant difference between the statistics.. So no way to conclude kwamba mpo wachache.. This is statistical point of view.. Ambae hujui usicoment
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapumbavu hamtaisha...unapoweka Fedha bank tayari wewe ni mwekezaji maana unaipa bank liquidity uhai wa kukopesha wawekezaji. Unafikiri kakobe asingeweka hizo pesa bank kingetokea nin....acha ufala wewe hujaenda shule shwain
Kupigwa hata mim ningekutangaza CNN but maswala ya financial pia sikutangazi naondoka kimya kimya utakaaje na MTU hana hela? Aise ni ngumu...mwanaume tafuta hela ndio sifa yako kubwa ukishindwa hilo kavae skert tuu
Duu Leo umeread my mind...maana ningekuwa nikiwaza kuwafungulia mashtaka ya kuwaibia watanzania. Kwa nin kisiwe na time frame ya hiyo michezo..haiwezekani michezo ya kubahatisha ikachezwa mwaka mzima toka nimesikia tatu mzima sijui kitu gani ni zaidi ya miezi kadhaa...huu ni uhuni na...
Ndugu nendo hospitali ...kuna uvimbe huwa unaweza kuwa kwenye ubongo wa mbele unaokandamiza nerves na usiweze kunusa itakuja tena huwezi kuona so wahi hospitali huwa wanafanya operation za kichwa unatolewa...na kuomba sana uwahi hospital
Lizarazu jina tuu lina ukakasi milioni saba haina thamani ya utu hata ungetoa milioni mia moja there is nothing you can give to buy or in exchange na mwanamke...that is just a gift to parents in respect of raising the women you wanted...so msijifanye mmetoa sijui mahari ndio ticket ya...
Mtoto wa kike akitoka shule anaanza majukumu ya nyumbani kufua kuosha vyombo kideki na hivyo kumkosesha muda wa kurudia aliyofundishwa shuleni...wa kiume akitoka anaenda kucheza defenetly lazima wakike aangaliwe kwa jicho la tatu.
Alamu hatuwezi kuwa Sawa na wanaume...tumewazidi mno...kwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.