Recent content by abby the great

  1. A

    Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

    nawe fungua akaunti yako kaka ila uhakikishe pesa unayoweka inatokana na mapato yako halali tu.hayo mengine ni majungu na ujinga tuu,nenda kamshauri --------- aongeze kupiga ruzuku za fisiem huenda nanyi mkapata kamtaji ka kuwekeza nje ya tz.
  2. A

    Lowassa: Nitafuta misamaha yote ya kodi

    we mwenyewe ni miongoni mwa hao wapumbavu na malofa.
  3. A

    Lowassa: Nitafuta misamaha yote ya kodi

    kazi gani hiyo? ya kubeba pesa kwenye lumbesa na sandarusi? ya kuamrisha wakazi wa kigamboni wapige mbizi? ya kung'oa kucha,meno na macho yeyote anayeikosoa serikali au kudai haki? tambueni kuwa "maandiko yamekwishaandikwa ukutani kuwa ufalme wenu umepimwa nao umetimia"mungu kasikia kilio cha...
  4. A

    Lowassa: Nitafuta misamaha yote ya kodi

    shule zinazotoa huduma ya elimu yenye kuzalisha ujinga ni sera ya chama gani? ccm imetuweka pabaya sana watanzania kielimu,kiafya,mawasiliano nk.
  5. A

    Picha za campaign UKAWA wilayani Mufindi na Iringa mjini

    Nadhani Unamfahamu Kenge Vema,so Unaaksi Sifa Za Kenge Mwenyewe Kwa Maoni Yako Mengi Hapa Jukwaani.Badilika,matusi Sio Dili.
  6. A

    Kutoka Njombe: Mwendelezo wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Mr.Junior;Wabena wanakuja kumshangaa fisadi aliyeinunua CDM. Wabena Washajitambua Wewe Pig Headed Guy!
  7. A

    Sakata la Richmond: Dr. Mwakyembe amkaanga Lowassa, Kumburuza Mahakamani...

    Kwa Muda Mrefu Sasa Ndg.Harrison Mwakyembe Amekuwa Akitoa Kauli Za Kujaribu Kuonyesha Kuwa Yeye Na Kamati Yake Wana Ushahidi Wa Kutosha Kuwa Kampuni Ya Richmond Inahusika Na Lowassa Moja Kwa Moja Na Kwamba Atakwenda Mahakamani Kufungua Mashtaka. Sisi Watanzania Tungependa Sana Jambo Hili...
  8. A

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    ni bora umetambua kuwa mwisho wenu ni 2015 kwa kukiri mwenyewe,naomba uwaeleweshe kasuku wenzio hapa jamvini ili waanze kujiandaa kisaikolojia.
  9. A

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa watanzania walipoteza maisha kwaajili ya dr slaa au kukipigania chama?hii propaganda haitawasaidieni kabisa na matokeo yatakuja kinyume chake, inashangaza sana kuona masisiem yamegeuka ghafla na kuanza kumlilia mtu waliyemdhihaki.
  10. A

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    acha uzuzu ndugu, ukimsikia dr slaa mwenyewe utaongeza nini?leo dr slaa amekuwa lulu ee? kwa taarifa yako chadema ilishaondoka kwenye levo ya kutegemea mwanasiasa mmoja mmoja ndio maana hata kigoma mjini cdm inaongoza mitaa mingi kuliko act ambao ni kwao.
  11. A

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    kwanza we ndugu umekuwa cdm tangu lini?unashangaza sana na porojo zako hapa kutaka kutuaminisha kuwa chama ni mtu mmoja,kama dr slaa hakubaliani na uamuzi wa wengi basi ntaungana na wanaosema kuwa kashikiwa akili.kamati kuu ina wajumbe wangapi?je wangapi waliafiki na wangapi walipinga?ondoa...
  12. A

    Mapigo matatu kwa Zitto Zuberi Kabwe, Bado pigo moja yatimie

    Inamnyanyua Kivipi? Hivi Ndg Yangu Pamoja Na Ushabiki Wako Kweli Umeamua Kujifanya Kipofu? Nchi Nzima Inajua Ukweli Kuhusu Shukrani Ya Punda Ya Zito Kwa Mheshimiwa Mbowe Na Malipo Ni Hapahapa Duniani Kaka.
  13. A

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Pamoja sana Kamanda, tushirikiane sana kumuondoa Mdudu CCM ikiwezekana tuukate kabisa huo Mkono unaopanga kufunga goli haramu.
  14. A

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Unamtaka Wewe kama nani?Huo mkutano ni wa Wenyeviti tu au umemuona Katibu Mkuu yeyote?Vumilia tu hayo maumivu.
Back
Top Bottom