Asanteni sana wadau. Sasa hivi. ...nitamchukua nitaenda nae lunch. ...hotel flani hivi....kupo kimya sana. Nimemuomba nikafanye nae maongezi ili kesho niondoke. Kakubali.........let love lead. To God be the Groly!!!
Nimekaa na mwanamke huyu zaidi ya miaka 6 kwa ugomvi na makelele. Hakuna maelewano yeyote. Hakuna furaha. Nikitaka kwenda kufanya jambo la maana hunipa stress mpka nashindwa kufanikisha jambo hilo. Nikishindwa sehemu yeye ndio anafurahi. Hakua na ushauri mzuri kwangu. Alikua ni mtu wa kunipa...
Ndugu wanajf.
Nashukuru kwa michango yenu ya ushauri juu ya swala langu kwenye uzi wa "Nakimbia ndoa-Naogopa kuua". Nawashukuru sana na heshimu sana mawazo yenu.
Kwakua huyu mwanamke amekua sio mstaarabu na katili kiasi hicho nimeamua kufanya yafuatayo lakini kwa uchungu sana kwani ni uamuzi...
Kuhusu wazazi nimeshawaambia. Wote wanajua. Na wakati naanza kumsomesha ilikua akiwa A level mpaka chuo. Na alivyoanza kazi...nikachukua vitu vyangu vyote vya ndani nikampa akaanzie maisha. Mi nikaanza upya na baadae nikajumlisha na vya awali ili tuwe wote karibu na familia. Hapo ndipo...
Wadau nawaelewa sana. Ujue mpaka sasa akili imestack....sijui pa kwenda....sijui cha kufanya. Na roho ya mauti inaniwinda sana....bora nife...nyingine nenda hata Lindi ukaanze upya. Mara. ..we vumilia tu kidogo umuone ujinga wake.....kila jaribu lina mlango wake....kwamba soon nitapata ahuheni...
Wana jf....mi nimeoa na nina watoto wa3. Huyu binti nilimtoa kwao nikawaahidi wazazi wake kua nitamsomesha mpaka elimu yeyote. Nikafanya hivyo mpaka sasa yupo na kazi. Ila kwa bahati mbaya mimi karibu mwaka sasa sina kazi ila pesa za kula hazinikosi.
Huyu binti wakati naenda kumtambulisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.