duuuh! Mm mwenzenu nishaishi uswazi mboona haya niyakawaida ila kama hujaoa itakubidi uoe kabisaa maana inakupa vishawishi kibao na pia kama huwezi kujizuia unaweza piga hata puli ili hali iwe nzuri tyuu mmmh! Wakubwa wanafaidiiii!!!.
Mm mwenyewe nashangaa coz ni suala ambalo limekwa kwenye media na sijajua mantiki ya uwekaji wa hili suala au ndo kama ulivyosema kuwa kuna jambo linajadiliwa ama kuna ishu za kichochezi ambazo zinataka kuibuliwa kuhusiana na huu mlima!.
Mmh! Inaonekana hapa tanzania kuna kiwanda cha siri kinachotengeneza hiz dawa ilaaa kanchi ketu kamepata umaarf kwa hizi dawa kupita hata vivutio vingine!!!.
Hhahahahahahhahah inashangaza sana bhana kwani hawa tfda walikuwa wapi kupiga stop hata kabla ya watu kuanza kutumia coz mpaka kitu kuja kutoka magazetin ni tayari watu walishaanza kutumia so sijapata jibu hapo coz watu kibao kama ni kuugua ndo hivyoo washaugua!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.