Recent content by Aayan Ayo

  1. A

    Mbolea ya Super Gro

    Nashukuru saana, kwakweli umejibu kitaalam saana, nimekuelewa saana. Shukrani. Inaonekana una utaalamu na kilimo au madawa, kama hutojali naomba namba zako. Zanhgu ni 0762126168
  2. A

    Naomba kujuzwa utagaji wa kuku aina ya Kuroiler na SASSO

    Asante saana, kweli kuku wa Sasso kwa mayai sio ila kwa nyama wako safi sana. Mimi changamoto ninayokutana nayo kwa kuku hao kwa upande wangu wanaugua saana flue, macho na kuna wakati wanakua walegevu miguuni. nimepambana nao sana ila sijapata utatuzi wa kudumu.
  3. A

    Huyu hapa ng’ombe anayekamuliwa lita 45

    Yaani nilitamani saana kuona huyu mtu akijibu maswali anayo ulizwa, ila kama kuna mtu hapa mwenye ujuzi na masuala ya ngombe wa maziwa, anaweza tusaidia uzoefu na jinsi ya kuwapata hao ng'ombe.
  4. A

    Shule ya Turkish Maarif School Arusha ni tatizo

    Kwakweli umekua na nia isiyo nzuri. Mimi ni mzazi katika shule hiyo na shule hiyo ni moja ya shule bora zaidi kwa hapa Arusha. Uongozi wa shule pamoja na walimu waliwasilia na sisi wazazi/walezi wote kupitia magroup ya wazazi na meseji private kwa kila mzazi kumjuza juu ya deni lake na...
  5. A

    Lake Ngozi (Ziwa Ngozi) na simulizi za ajabu

    Yeh, Ziwa Dulute nalifahamu vuzuri sana, ni moja ya maeneo ambayo huwa tunatumia kwa kuwa na muda na malafiki zetu na kukaa maana mandhari yake ni nzuri sana, hakuna mtu unaoingiza maji wala kutoa maji, na pia ziwa Dulute sio salama kwa kuogelea maana kina chake hakijulikani, kuna security...
Back
Top Bottom