Ningependa kujuzwa ni faida zipi anazoweza kuzipata mtu pale atakapo jiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii kwa hiari.
Na je kuna hasara zozote zinazoweza kutokea kwa mtu ambaye hajajiunga na mifuko hiyo?
Vipi kuhusu Magarine kama Bluebland je nayo ina madhara yoyote maana kuna mtu aliniambia kuwa yanatabia ya kuganda kwenye mishipa ya damu na kwenye moyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.