Recent content by a4afrika

  1. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Anachomaanisha labda ni kwamba Yule jamaa hakuwa Shabiki, ila staff member wa Yanga. Ni kwamba hata Mimi naweza hoji labda, ikitokea member wa benchi la ufundi la Yanga amempiga Kocha wa upinzani, Je, Adhabu inaweza kuwa ni kwa mashabiki ambao hawakuhusika na shambulizi?
  2. a4afrika

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Kocha ana Sub za ajabu sana, ana bahati, ila safari yake ilikuwa inaisha Leo. Yaani utoe Key players wawili kwa mara moja badala ya kujaribu partnership mpya kwa kumtoa mmoja tu!! Ajitafakari!
  3. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Hodi Ikwiriri

    Pana neema, ila subiri Elnino ipite.
  4. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Mudathir jitafakari bro, umekua slow sana hii ni Yanga

    Angekuwa hana kitete Cha miguu, angekuwa mchezaji mkubwa sana Bongo, ndio vile ni Ngumu kuwa na vyote. Ila ukitaka kuona umuhimu wake aingie wakati timu imeshazidiwa.
  5. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Video: Wakati mwingine sauti ya mtoto huibua maswali ambayo watu wazima huogopa kuyauliza

    Namna ya alivyoweka vidole vyake, inaashiria namna fulani. Lakini pia Madai yake kujua Nyerere kuwa rais wa zamani halafu awe anashangaa kwamba sasa hivi Kuna rais ama laa. Ni heri angekuwa anafikiri kuwa Nyerere ni Rais mpaka sasa.
  6. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Video: Wakati mwingine sauti ya mtoto huibua maswali ambayo watu wazima huogopa kuyauliza

    Ni jambo halisi, ila huyu amepangwa.
  7. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Sasa Kuna shida gani kutoa huduma hiyo kwa raia? Hivi huoni kweli Fursa zinazoweza kuzaliwa kwenye makazi yaliyopangiliwa? Hujui kuwa hata Uzalishaji Mali unapungua penye mipango miji Duni wakati huo expenditure inakua?
  8. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Kwamba hatuwezi ku-save wala kuokoa billion 200 kwa mwezi? Huijui nchi hii hakika.
  9. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Hiyo inchi ina bajeti ya safari mabilioni, bajeti ya warsha na semina unnecessary mabilioni, ina tuhuma za ubadhilifu Kila mwaka mabilioni, inatoa misamaha ya kodi kiholela mabilioni, inaruhusu wizi wa rasilimali zenye mabilioni ya thamani, inaunda tume na Kamati mchongo za mibilioni, inatenga...
  10. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Ndio maana zimetajwa Trillions kama fidia na miundombinu. Dhamira ya mabadiliko haipaswi kuambatana na dhuruma. Mbali na yote hayo, NI JAMBO LINALOWEZEKANA, LIKO NDANI YA BAJETI YETU.
  11. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Wamekosa Dhati katika wayapangayo, ila ni jambo linalowezekana.
  12. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Trillion 2 kwa mwaka itakuwa inawaamisha taratibu, ndani ya miaka mitatu imeshamalizana nao.
  13. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Fabrizio Romano azitambulisha jezi mpya za Kimataifa za Yanga. Hakika Yanga ni kubwa sanaaaa

    Usajili wa mwaka huu kwa Yanga umeonesha thamani halisi kidogo ya Uwekezaji nadhani, hii inatia moyo kuwa, Uwekezaji wao ukikua unaweza kuleta mabafiliko makubwa zaidi kwenye ubora wa kikosi. Na labda Uwekezaji katika ubora wa kikosi mwaka huu, unaweza kuvutia wawekezaji zaidi mbeleni, hasa kama...
Back
Top Bottom