Recent content by a4afrika

  1. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Eng. Hersi: Kombe la Ngao ya Jamii 2025 limeibwa wakati tunasherehekea parade

    Tulimuona kabisa Jogoo meza Kuu, mechi inaisha Jogoo haonekani na hakuna anayesema Jogoo ameenda wapi. Ikabidi tumkabe muandaaji mpaka kwa baba yake😂😂😂
  2. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Comebacks 5 za kibabe zaidi kwenye soka la kisasa kuwahi kutokea

    Hii inafanana sana na ya Liver vs Barca
  3. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Nafurahishwa sana na mlipuko wa ujenzi wa maghorofa Kariakoo, wenye nyumba za chini mliobaki pisheni, acheni ubishi

    Kwa vile yamejengwa kwenye Aridhi yetu, tutakapopata Wazalendo, basi tunaweza kufanya yawe na Tija hata kwa Kuyataifisha kama watashindwa kulipia thamani halisi inayohitajika.
  4. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Hata maarifa na Juzi nyingi za kale ziligunduliwa kwa kufuatilia nyendo za wanyama.
  5. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Vifaa ambavyo ili uvitengeneze na kuvitumia unapaswa kwanza kuua uwezo wako wa Asili kuditect hayo na kuua hata afya yako ya mwili pia.
  6. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Katika hilo wengi wametuzidi mbali. Ni wanyama wachache sana wanaoweza kutengeneza anguko lao wenyewe kama binadamu. Wengi wako smart.
  7. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Maajabu yaliyotokea Nigeria yanatisha, hebu soma ujionee maajabu hayo

    Mbuzi wa Kafara huyo.
  8. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Wakifanya utapale watapotea, watu watawapuuza. Waache watu washinde kwa haki, isiwe kubebana.
  9. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Coy anaulizwa 'umesema huyu kama Dodoma mbali aje jirani yako unamaanisha nini? Au atoke kwenye mashindano?' Akajibu eti 'huyu atoke aende wapi, kwenye fainali yumo humu'😂
  10. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Ingemtosha Sofia kama walitaka Mtz kwa Tatu Bora.
  11. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Ya 3 ingemtosha. Haikuwa fair kwa Freya.
  12. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Baada ya kutolewa Sheridah, Rita akawa anashutumu wengine eti, alitaka hata Koy akengeushe alama zilizokuwa kwenye karatasi tayari. Ikipendeza awe msimamizi tu, Judging awaachie wengine. Apewe KARATA 3 tu za kuingilia maamuzi ya judges, zikiisha basi.
  13. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Freya amezingua Leo tu uchaguzi wa wimbo, ila kimuziki Yuko Bora kuliko wote. Sema sasa kinachoangaliwa ni alama zao kwa siku ya Leo.
Back
Top Bottom