Hautoshi kuhangaisha kichwa changu kutafakari juu usahihi au ubatili wa principles of Democracy. Maana umejaa jazba, pupa na ujivuni. Umekariri dhana zako juu ya mijadala humu ndani na Kila mtu unataka umpe lebel inayokufurahisha.
Tafakari za kina hazihitaji Uharakati, Tunachotaka ni Kujenga...
Nilipokuambia Demokrasia si definition yake Bali principle zake, ungekuwa unatosha kusumbua kichwa changu Kutafakari nawe juu ya hilo, usingeshindwa kujengea hoja zako kutokea hapo. Badala yake ukaamua kujibu utumbo, matusi, kebehi, bezo, nk...
Tafuta mtu wa kushindana nae hayo matusi na bezo...
Unataka kuielewa dhana Potofu? Yaani unahangaikia kujaza maji kwenye tenga na Bado unaweza kunyooshea mwingine kuwa ni chizi!!!
Na iwe vile inavyokupendeza kufikiri ewe muheshimiwa sana!
Waweza kuwa sahihi.
Ila pia Bado sitahangaika kukuelewesha. Hiyari ni yako kutafakari upya ulichokaririshwa juu Demokrasia.
Binafsi kwangu inabaki hivyo kuwa, ninamtoa akili yeyote yule atakayehamsisha watu kujenga, Kuishi au kulinda Demokrasia. Ni Fikra mfu.
NA HAKUNA NCHI ILIYOWAHI...
Ibaki vile inavyokufurahisha kunifikiria. Wito wangu kwako ni Kutafakari upya huo Upuuzi uitwao Demokrasia sambamba na ujinga uitwao HAKI(katika mwamvuli wa Bill of Rights)
Kitokeacho Leo ni zao la huo Upuuzi uitwao Demokrasia, Unyonge wa Raia walio wengi ndio Ufanyao dhuluma za Demokrasia...
NIseme tu kuwa kama Unaijua vizuri Demokrasia basi utakuwa unajua pia kuwa ni kitu kisichohalisika. Ni Kiini Macho au uamue kuumiza wengi na kunufaisha wachache.
Huwa mnasemea mifano ya nchi fulani au fulani, msihangaike na gharama walizolipia kufika hapo na vile mnavyoweza kuhusianisha na...
Unamtazana Samia tu tena Leo tu, ila Mimi namtazama tangu Kikwete na Nyakati zake mpaka kufikia Samia Leo. Mbali na hapo siitazami Tz tu, ni Dunia kwa mapana yake.
Hakuna Taifa lolote lililokuwa serious limewahi kuhangaikia huo upuuzi.
Sasa hiyo taarifa sisi ya nini? Kwani kumkataa mbia au mkandarasi si ni jambo la kawaida tu.
Tunachosubiri kusikia ni kuwa Mbia amepatikana, sio kumkataa huyu ama yule. Kwahiyo akijq mwingine na mkimkataa mtataka mtuambie tena?
Ni kama mnatafuta visingizio vya kuchelewesha mradi. Halafu bajeti...
Ukiona mtu anatetea Democracy huyo hakuna haja ya kumpima akili, ni mbumbumbu tayari. Ni hatari sawa na ile ya wasio wazalendo kupewa madaraka.
Kwa jamii yetu HAKUNA option ya kutokabidhi nguvu kubwa kwa wachache, ila shida IPO wanaokabidhiwa ni kina nani na wenye uzalendo kiasi gani.
Mpe...
Wauane tu hakika. Walipue Makka, Jerusalem, wasiiache WDc na Trump wake, Netanyau wote, Teheran ibaki majivu, yaani iwe piga nikupige wasipoe miaka 10 mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.