Siasa za Viwanda vya Cement ndio vinafanya ionekane hivyo Leo. Fikiria Dangote Cement inawezaje kuuzwa bei ya chini Morogoro kuliko Mtwara, wakati bei ya Twiga Dar ni ndogo kuliko Mtwara.
Wananchi tunapigwa sana!
Uwe na kichwa Chepesi.
Tunachomaanisha hapa kama tutakuwa na Makusanyo sahihi na matumizi sahihi, HAKUTAKUWA NA HIYO HAJA YA KUKOPA Trillion 10+
Lakini pia nasema hata ukikopa hiyo hela kukamilisha miradi iliyopo, haiondoi nafasi ya kuanzisha mradi Mpya kwa pesa itakayookolewa katika bajeti...
Refinery ni Trillion 20 sio 50.
Kichwa chako kigumu sana kuelewa au unafanya makusudi. HATUTAFUTI HELA YA KUJENGA REFINERY KWENYE KUPUNGUZA SAFARI TU. Ila Tukipunguza safari tunaweza kuvuna 4% ya pesa ya kujenga REFINERY ya 20T kwa miaka 10.
Zingatia pia kuwa hiyo 4% ni kusave kwenye safari...
Kuna watu Wana Fikra za kitumwa mpaka wanakera! Pesa haiwezi kuwa Tatizo kabisa katika hili, ni Utayari tu wa viongozi. Na labda watuambie kuwa Sera za mabepari kuzuia, lakini kamwe pesa si kizuizi.
Sasa Mimi nimeandika kitu gani tofauti na hiki unachoendelea kusema hapa?
Nusu ya pesa inayohitajika kutengwa kwa Mwezi mmoja inapatikana katika udhibiti wa safari holela tu! Tafsiri yake Safari hizo zinaweza kuchangia 4% za bajeti wa Ujenzi wa Refinery.
NI SAFARI TU, achilia mbali Idara...
Duh, we jamaa na Fikra zako tena.
Kwamba kwako nyumba inayohitaji bati 100 ili kuezekwa, ikatengewa bajeti ya bati 200 na zikanunuliwa ila zikatumika 100 tu hitajika kwako huo sio Ufisadi?
Unawezaje kusafisha bajeti zinazozidi MAHITAJI halisi?
Halafu unapuuza 80b eti haziwezi kujenga Refinery...
Ndio maana tunasema TUNAWEZA KUFANYA KWA KUBANA MATUMIZI.
Hiyo 20% finyu kabisa inayobaki, Bado unaona manunuzi yasiyo ya Lazima, wizi, safari za ajabu, na Kila aina ya ufujaji. VIPI KAMA TUKIZUIA HAYO, BADO UTASEMA HAITOSHI?
Hiyo ni sawa na Trillion 40 kwa mwaka, Halafu eti tukwame kugharamia Mradi nyeti wa Kimkakati wa Trillion 20 tu kwa miaka 10? Halafu mlipa Kodi anatetea kuwa haiwezekani, kwamba ni hela nyingi wakati Kuna wapuuzi wanajichotea tu.
Duh! Wewe jamaa uelewa wako aisee. Kwahiyo kusacrifice mwezi mmoja kwako unatafsiri ni nchi kusimama kwa Mwezi mzima!
Chukua Billion 2000 igawe kwa 12, ndicho nachokimaanisha, kwa miaka 10.
166b kwa Kila mwezi. Kama Makusanyo ya mwezi ni T2+ Tafsiri yake zaidi ya billion 1840 zinaendelea...
Kwamba Makusanyo ya nchi kwa miaka 10 yashindwe kugharamia mradi wa Trillion 20? Serikali inayoshindwa kutenga Trillion 2 tu kwa mwaka kufanikisha mradi muhimu kama huo, nawe unaitetea kuwa ni jambo humu kufanyika????
Tunahitaji kutoa sadaka mapato ya mwezi mmoja tu kwa mwaka kwa miaka 10...
Chagua mmoja kati ya Magufuli na Lissu ni yupi wa kumuita Shujaa. Maana haiwezekani kwa sasa wote wawe Mashujaa.
Kama Shujaa ni Lissu basi Magufuli hana nafasi hiyo tena maana Sehemu ya Ushujaa wa Lissu ni kumpinga kwake Magufuli, ambayo kwa Lisu yalitafsiriwa kama maovu.
Na kama Magufuli ndio...
Pia ndio Halmashauri yenye watumishi mediocre kuliko zote Tz. Ubunifu F Ufanisi zero kabisa. Kuna Mzee aliwahi niambie kuwa, watumishi wengi Moro ni wale wa kupachikwa tu pasipo vigezo, watoto na vimada wa vigogo wazurulao Dom-Dar Kila siku.
"Nikikuweka Dar tutashtukiwa, Dom nako hivyohivyo...
Wameshindwa nini kupata TAKWIMU hizi kwa Usajili wa NIDA? Unasema watumiao simpesa wapo mil.81, wakati unajua kuwa KIDIBWINE KISAI ana line 5, ni wendawazimu.
Ripoti ya Kenya iko realistic zaidi. Yetu inaonesha mpaka watoto wanamiliki simu na kutumia mtandao. Sijui wamekusudia nini !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.