Anachomaanisha labda ni kwamba Yule jamaa hakuwa Shabiki, ila staff member wa Yanga. Ni kwamba hata Mimi naweza hoji labda, ikitokea member wa benchi la ufundi la Yanga amempiga Kocha wa upinzani, Je, Adhabu inaweza kuwa ni kwa mashabiki ambao hawakuhusika na shambulizi?
Kocha ana Sub za ajabu sana, ana bahati, ila safari yake ilikuwa inaisha Leo. Yaani utoe Key players wawili kwa mara moja badala ya kujaribu partnership mpya kwa kumtoa mmoja tu!!
Ajitafakari!
Angekuwa hana kitete Cha miguu, angekuwa mchezaji mkubwa sana Bongo, ndio vile ni Ngumu kuwa na vyote. Ila ukitaka kuona umuhimu wake aingie wakati timu imeshazidiwa.
Namna ya alivyoweka vidole vyake, inaashiria namna fulani. Lakini pia Madai yake kujua Nyerere kuwa rais wa zamani halafu awe anashangaa kwamba sasa hivi Kuna rais ama laa. Ni heri angekuwa anafikiri kuwa Nyerere ni Rais mpaka sasa.
Sasa Kuna shida gani kutoa huduma hiyo kwa raia?
Hivi huoni kweli Fursa zinazoweza kuzaliwa kwenye makazi yaliyopangiliwa? Hujui kuwa hata Uzalishaji Mali unapungua penye mipango miji Duni wakati huo expenditure inakua?
Hiyo inchi ina bajeti ya safari mabilioni, bajeti ya warsha na semina unnecessary mabilioni, ina tuhuma za ubadhilifu Kila mwaka mabilioni, inatoa misamaha ya kodi kiholela mabilioni, inaruhusu wizi wa rasilimali zenye mabilioni ya thamani, inaunda tume na Kamati mchongo za mibilioni, inatenga...
Ndio maana zimetajwa Trillions kama fidia na miundombinu.
Dhamira ya mabadiliko haipaswi kuambatana na dhuruma. Mbali na yote hayo, NI JAMBO LINALOWEZEKANA, LIKO NDANI YA BAJETI YETU.
Usajili wa mwaka huu kwa Yanga umeonesha thamani halisi kidogo ya Uwekezaji nadhani, hii inatia moyo kuwa, Uwekezaji wao ukikua unaweza kuleta mabafiliko makubwa zaidi kwenye ubora wa kikosi.
Na labda Uwekezaji katika ubora wa kikosi mwaka huu, unaweza kuvutia wawekezaji zaidi mbeleni, hasa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.