Tulimuona kabisa Jogoo meza Kuu, mechi inaisha Jogoo haonekani na hakuna anayesema Jogoo ameenda wapi. Ikabidi tumkabe muandaaji mpaka kwa baba yake😂😂😂
Kwa vile yamejengwa kwenye Aridhi yetu, tutakapopata Wazalendo, basi tunaweza kufanya yawe na Tija hata kwa Kuyataifisha kama watashindwa kulipia thamani halisi inayohitajika.
Coy anaulizwa 'umesema huyu kama Dodoma mbali aje jirani yako unamaanisha nini? Au atoke kwenye mashindano?'
Akajibu eti 'huyu atoke aende wapi, kwenye fainali yumo humu'😂
Baada ya kutolewa Sheridah, Rita akawa anashutumu wengine eti, alitaka hata Koy akengeushe alama zilizokuwa kwenye karatasi tayari.
Ikipendeza awe msimamizi tu, Judging awaachie wengine. Apewe KARATA 3 tu za kuingilia maamuzi ya judges, zikiisha basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.