Recent content by a4afrika

  1. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Punguzeni Fikra duni wandugu!
  2. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Dangote atangaza ongozeko la Bei ya Sementi kuanzia 12 Mei 2026 kisa gharama za usafiri, malighafi na uendeshaji

    Siasa za Viwanda vya Cement ndio vinafanya ionekane hivyo Leo. Fikiria Dangote Cement inawezaje kuuzwa bei ya chini Morogoro kuliko Mtwara, wakati bei ya Twiga Dar ni ndogo kuliko Mtwara. Wananchi tunapigwa sana!
  3. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Uwe na kichwa Chepesi. Tunachomaanisha hapa kama tutakuwa na Makusanyo sahihi na matumizi sahihi, HAKUTAKUWA NA HIYO HAJA YA KUKOPA Trillion 10+ Lakini pia nasema hata ukikopa hiyo hela kukamilisha miradi iliyopo, haiondoi nafasi ya kuanzisha mradi Mpya kwa pesa itakayookolewa katika bajeti...
  4. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Refinery ni Trillion 20 sio 50. Kichwa chako kigumu sana kuelewa au unafanya makusudi. HATUTAFUTI HELA YA KUJENGA REFINERY KWENYE KUPUNGUZA SAFARI TU. Ila Tukipunguza safari tunaweza kuvuna 4% ya pesa ya kujenga REFINERY ya 20T kwa miaka 10. Zingatia pia kuwa hiyo 4% ni kusave kwenye safari...
  5. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Kuna watu Wana Fikra za kitumwa mpaka wanakera! Pesa haiwezi kuwa Tatizo kabisa katika hili, ni Utayari tu wa viongozi. Na labda watuambie kuwa Sera za mabepari kuzuia, lakini kamwe pesa si kizuizi.
  6. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Sasa Mimi nimeandika kitu gani tofauti na hiki unachoendelea kusema hapa? Nusu ya pesa inayohitajika kutengwa kwa Mwezi mmoja inapatikana katika udhibiti wa safari holela tu! Tafsiri yake Safari hizo zinaweza kuchangia 4% za bajeti wa Ujenzi wa Refinery. NI SAFARI TU, achilia mbali Idara...
  7. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Duh, we jamaa na Fikra zako tena. Kwamba kwako nyumba inayohitaji bati 100 ili kuezekwa, ikatengewa bajeti ya bati 200 na zikanunuliwa ila zikatumika 100 tu hitajika kwako huo sio Ufisadi? Unawezaje kusafisha bajeti zinazozidi MAHITAJI halisi? Halafu unapuuza 80b eti haziwezi kujenga Refinery...
  8. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Ndio maana tunasema TUNAWEZA KUFANYA KWA KUBANA MATUMIZI. Hiyo 20% finyu kabisa inayobaki, Bado unaona manunuzi yasiyo ya Lazima, wizi, safari za ajabu, na Kila aina ya ufujaji. VIPI KAMA TUKIZUIA HAYO, BADO UTASEMA HAITOSHI?
  9. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Hiyo ni sawa na Trillion 40 kwa mwaka, Halafu eti tukwame kugharamia Mradi nyeti wa Kimkakati wa Trillion 20 tu kwa miaka 10? Halafu mlipa Kodi anatetea kuwa haiwezekani, kwamba ni hela nyingi wakati Kuna wapuuzi wanajichotea tu.
  10. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Duh! Wewe jamaa uelewa wako aisee. Kwahiyo kusacrifice mwezi mmoja kwako unatafsiri ni nchi kusimama kwa Mwezi mzima! Chukua Billion 2000 igawe kwa 12, ndicho nachokimaanisha, kwa miaka 10. 166b kwa Kila mwezi. Kama Makusanyo ya mwezi ni T2+ Tafsiri yake zaidi ya billion 1840 zinaendelea...
  11. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kwa namna alivyokuwa na uwezo wa kusimamia pesa za umma. Hayati Magufuli angejenga oil refinery kwa pesa za ndani. Taifa letu lisingehangaika

    Kwamba Makusanyo ya nchi kwa miaka 10 yashindwe kugharamia mradi wa Trillion 20? Serikali inayoshindwa kutenga Trillion 2 tu kwa mwaka kufanikisha mradi muhimu kama huo, nawe unaitetea kuwa ni jambo humu kufanyika???? Tunahitaji kutoa sadaka mapato ya mwezi mmoja tu kwa mwaka kwa miaka 10...
  12. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Chagua mmoja kati ya Magufuli na Lissu ni yupi wa kumuita Shujaa. Maana haiwezekani kwa sasa wote wawe Mashujaa. Kama Shujaa ni Lissu basi Magufuli hana nafasi hiyo tena maana Sehemu ya Ushujaa wa Lissu ni kumpinga kwake Magufuli, ambayo kwa Lisu yalitafsiriwa kama maovu. Na kama Magufuli ndio...
  13. a4afrika

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi Ya Basi Msamvu Morogoro inalipisha pesa ya kuingia hata kama una tiketi

    Pia ndio Halmashauri yenye watumishi mediocre kuliko zote Tz. Ubunifu F Ufanisi zero kabisa. Kuna Mzee aliwahi niambie kuwa, watumishi wengi Moro ni wale wa kupachikwa tu pasipo vigezo, watoto na vimada wa vigogo wazurulao Dom-Dar Kila siku. "Nikikuweka Dar tutashtukiwa, Dom nako hivyohivyo...
  14. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Wewe pia ni mtoto wa mtu, wapubguzie majukumu wazazi wako kwa kukatisha mbugani usiku kwa miguu.
  15. a4afrika

    JamiiForums Tanzania Angellah Kairuki: Matumizi ya Internet yameongezeka kwa asilimia 19.5, watumiaji wafikia Milioni 58.9

    Wameshindwa nini kupata TAKWIMU hizi kwa Usajili wa NIDA? Unasema watumiao simpesa wapo mil.81, wakati unajua kuwa KIDIBWINE KISAI ana line 5, ni wendawazimu. Ripoti ya Kenya iko realistic zaidi. Yetu inaonesha mpaka watoto wanamiliki simu na kutumia mtandao. Sijui wamekusudia nini !!
Back
Top Bottom