Recent content by A Preacher

  1. A

    Zitto: Nitafanya maamuzi kuhusu hatima yangu CHADEMA mwezi Machi, 2015

    Napenda nitoe ushauri kwa muheshimiwa Zittopamoja na yote yaliyomkuta, nafahamu kati ya viongozi vijana wenye vichwa vuzuri sana kaika hii nchi huezi acha kumuongelea Zito, hayo yaliyomkuta na tuhuma anazo shtutumiwa kama ni kweli wewe unajua na Mungu wako kama si kweli basi sawa, ila...
  2. A

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    mh! basi sawa......ila arudishe kwanza alizobeba...
  3. A

    'Rushwa ya viroba'

    Arusha kata ya Unga ltd mtaa wa Migungani, vijana wa bodaboda wamepewa 'viroba' kibao na vijana wamevalia sare za ccm, sasa vijana wameshindwa kufanya kazi yao ya bodaboda wamelewa, yani ni shida...
  4. A

    Nchi hii inapoteza uelekeo, wasomi mko wapi?

    mh! kama 49 wana upungufu wa akili basi tumekwisha! mana tutakua na 'waropokaji' wengi kwenye hii nchi kushinda wajenga hoja! Nani ameturoga kwenye hii nchi! yani kila kitu siasa hakuna vitu 'real' hata!
  5. A

    Nchi hii inapoteza uelekeo, wasomi mko wapi?

    Nimesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari mbalimbali kuwa kuna wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dar-es- salaam wameelani vikali kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA, shida yangu haipo kwenye wao kulaani hiyo kauli maana mimi sio mshabiki wa vyama vya siasa ila shida yangu iko kwa wasomi hawa wasioweza...
  6. A

    Soma hii ujue chanzo cha bunge kuahirishwa!

    Page 1 of 4 BARUA YA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA) KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM, MHESHIMIWA SAMWEL J. SITTA, KUHUSU UKIUKWAJI WA KANUNI ZA BUNGE MAALUM Mheshimiwa Mwenyekiti, Sisi ambao majina yetu yameorodheshwa hapa chini ni Wajumbe wa Bunge Maalum ambao tunatokana na vyama vya...
  7. A

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Habari za asubuhi wadau!!? Nimeusoma waraka wa Askofu Kakobe mara mbilimbili maana niliona ni waraka mzito mno niliopaswa kuuelewa vizuri! Kwa bahati mbaya watu wengi hawajui kwamba tunapozungumza habari za Mungu huwa tunazungumza ulumwengu usionekana yaani (ulimwengu wa roho) AMBAO NDIO...
  8. A

    Ombi: Ikulu ipuuze waraka wa Kakobe

    Ni rahisi kumuona mtu mjinga au -------- kumbe ukawa hujausoma waraka kwa kina na kuuelewa kwa kina, matokeo yake wewe ndio ukawa mjinga au --------! Paulo aliyekuwa Sauli katika Biblia alisema ni ngumu mno kuyafahamu mambo ya Rohoni, kati ya watu ambao pia hawayajui mambo ya rohoni ni wewe...
  9. A

    Rasimu ya pili ya katiba

    Wakuu yeyote mwenye rasimu ya pili ya katiba, naomba anitumie kwenye email jomarcs@yahoo.com
  10. A

    Chadema na kisa cha Mbuni!!!

    wazo zuri! Ila all we are not sure kma wanatafakar kuhusiana na uliyoyasema na kwa viongoz waliopo CDM naamin ni watu wenye uwezo wa kutafakar na kuamua kwa usahihi
  11. A

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    Kwanini wanaharakati wasihamasishe hili? kwa maandamano hii serikali kiziwi itasikia tu!
  12. A

    Majibu ya Waraka wa Manyerere Jackton na Pasco wa JF, kuhusu yanayoendelea CHADEMA

    Makene umemaliz kazi! asiyetaka kuelewa halazimishwi kuelewa!
  13. A

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    inauma sana kuwa na viongoz wasiojali hali za wananchi aisee
  14. A

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    Wakuu kwanini yasiitishwe maandamano ya Kitaifa kupinga upandishwaji wa bei ya nishati hii muhimu sana kwa Watanzania?? Ukiangalia harakaharaka ila kwa umakini waziri hajali, waziri mkuu hajali, Rais ndo uuuuwiiii!!! pamba masikioni! nawasilisha
  15. A

    Lema yupo ITV Live

    sawasawa kamanda Lema, mi nakukubali kwa ujasiri
Back
Top Bottom