leo nimesoma katika gazeti la Mizengwe ya Uchaguzi. lakini nilichoshangaa ni kwamba karibu gazeti zima linakosoa juhudi za UKAWA kutaka kuchukua nchi. mara nyingi limemkosoa Lowassa na Sumaye kwa kuhama CCM. Kwa mfano kichwa cha leo kinasema Edward Lowassa awaambia watanzania waache upumbavu...
mimi nataka rais kama magufuli kama hajui kimombo. Hii inatokana na ukweli kwamba watazania wengi wanakidharau kiswahili chao na badala yake wanashadidia kiingereza utadhani wamezaliwa londoni. Uzalendo kwanza ni kutumia lugha ya kiswahili katika mambo mengi ikiwa ni pamoja na raisi kutokutumia...
Hata mimi nilistuka siku za hivi karibuni. Eti kamera kwenye photo za magufuli inatoka vizuuuuuri lakini za Lowasa watu wazima wote wanaonekana kwa karibu. Nikajua ripota amekula fedha!!!
Nimeona ITV, mama Ana Nghwira anasema kuwa watu wasifanye makosa tena ya kuipigia kura CCM. Amedai kuwa kwa sasa wanapaswa kuangalia zaidi vyama vya upinzani kuliko kuipigia CCM kwani katibu wake mkuu amethibitisha wazi kuwa CCm imeoza.
Katika kipindi hiki, ni vyama viwili tu vyenye nguvu CDM...
Kuna jamaa anaongea hapa ITV na anadai kuwa kama ilivyokuwa kwa wana wa Israel kwa kuangusha mlima wa Babeli ndivyo chama tawala kinavyoangusha vyama vya upinzani.
Anaitetea tume kuwa ni chombo cha haki. Alianza kumkemea Lowassa kwa ubaya wake! Lakini presenter kampa mfano kutoka kwenye Bible...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.