Recent content by A M K TZ

  1. A M K TZ

    Biashara ipi inanifaa nje ya kazi

    Habari za mida wakuu.. Mimi ni mfanyakazi wa kampuni binafsi.. Napata mshahara wa wastani tu ila nilitamani niwe na biashara yangu ya pembeni ambayo itanisaidia kuongeza kipato. Ila changamoto ni muda, huwa naingia job asubuhi natoka saa 12 jioni na sina hata offdays .. Hivi ni biashara gani...
  2. A M K TZ

    Nachoka sana baada ya tendo la ndoa, nifanyeje?

    Zingatia vitu hivi 🤔 O1. Push ups 50 to 100 everyday consistently.. O2. Hakikisha haipiti day hujala Tango, Ndizi na Chungwa.. at least two of them.. O3. Mlo uskose mboga mboga but si tembele wala kisamvu zingatia mchicha, skuma wiki, figili or mnavu.. O4. Kula nuts kiganja kimoja every single...
Back
Top Bottom