Recent content by A lovely son

  1. A lovely son

    Musiba: Vodacom ilikuwa mali ya CCM mafisadi wakaipora, Nape kauza mitambo ya tv ya CCM, Mbowe anapoteza wanaohoji ruzuku

    Anaweza kuwa na point kubwa sema wengi wetu hatumchukulii kiumakini ila kidharau na sababu kuu ni maneno magumu anayotumia ila yanaweza kuwa na facts ndani yake, acha tusubiri muda utaongea, maana karibu na uchaguzi tutasikia mengi na kuona mengi tusiyoyafahamu na tunayo yafahamu
  2. A lovely son

    Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

    Jombaa C.I.A ndugu zako mbona unajiamini sanaa, maneno yako hayo!!!!!!
  3. A lovely son

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba: Naagiza aliyemtolea bastola Nape Nnauye, achukuliwe hatua

    It can't make sense, how comes MTU awe na ujasiri huo????
  4. A lovely son

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Are u sure brother??? If yes its alright
  5. A lovely son

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Mbele KWA mbele.......heheheee
  6. A lovely son

    Yaliyojiri Mkutano wa Waziri Nape Nnauye na Waandishi wa Habari: Kamati haijamaliza kazi

    Mtazamo wa mbali hakuna jipya zaidi ya presida alivyosema Makonda apige kazi Hakuna kingine zaidi ya hilo maana sioni atakaye badilisha hilo.
  7. A lovely son

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Hakuna mkamilifu duniani mbali na hilo bada Makonda ni kiongozi kati ya wachache anayeweza kukemea maovu.
  8. A lovely son

    Hashim Rungwe: Ningekuwa Rais ningehakikisha wananchi wote wanapata chakula wanashiba

    Hata Mimi nashangaa tuu ila ndivyo binadamu tulivyo, ukiwa nje ya uwanja unaona mengi ila ukipewa nafasi utakuwa WA kwanza kupigiwa mayowe ya kutaka utoke.Mwenyezi mungu ibarki Tanzania na watu wake.
  9. A lovely son

    Law delayed is law denied!

    Kama unataka kuuliza swali uliza hivi sheria iliyomweka ndani huyo jamaa ilitsgsiriwa vizuri?
  10. A lovely son

    Law delayed is law denied!

    kinacho mweka jela ni utafsiri wa sheria kupitia hakimu aliepitisha sheria hiyo husika no more.
  11. A lovely son

    Msaada wa sheria, rufaa ya kesi ya madai

    waone bodi watakusaidia ndugu yangu but kizuri fuata utaratibu wa kumpata wakili then atakupa utaratibu wote wa rufaaa then all things will be ok.Hope u will do so and all the best.
  12. A lovely son

    Suspension Kazini

    Haaaaaahaaaaaa!!! sasa ndugu yangu mbona jibu unalo tayari.Lets make t perfect HAUPO KAZINI HIVYO BASI HATA HAYO MADAI HAYAKUHUSU lakini kwa maelezo na ufafanuzi zaidi mwone mkubwa wako wa kazi.Pole ndugu yangu kwa maswaiba yaliyokupata mola akusaidie na urudi kazini mapema iwezekanavyo.
  13. A lovely son

    Mwanasheria wa Times Ziro, Yani Buyu kabisa!

    This is Tanzania i used to know several years ago.
Back
Top Bottom