Recent content by A child

  1. A child

    Una simu ya mkopo unahitaji tutoe hizo lock utumie kwa uhuru??

    Kuna simu ndugu yangu kauziwa na mtu kumbe ni ya mkopo
  2. A child

    RC Chalamila: Hakuna Mwanamke aliyedhalilishwa kwenye kamata kamata ya Ubungo, walikutwa nusu uchi mtaani wakabebwa kama walivyo. Sasa watapewa Mikopo

    Mimi sioni athari yoyote kwa Hawa watu. Sawa anajiuza lkn si wanaenda faragha?.. vipi kuhusu Hawa video vixens wamewachukulia hatua gani na Hawa mataa wa kike??? Tutumieni nusara tusiwaonee wanyonge..mimi huyu mnaemwita dada poa sijawah kumwona kainamishwa barabarani ila Hawa wasanii wetu kila...
  3. A child

    Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

    Kwani mtu anaeuza nyapu na yule asiyeuza ila anagawa kwa kila mtu wanatofauti gani?...
  4. A child

    Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

    Mimi hapa nipo seat ya mbele kabisa nyuma ya dereva
  5. A child

    VOA: Zaidi ya Wanajeshi 80 wa Burkina Faso wauawa na Wanajihadi. Rais Traore akimbia Ikulu na kujificha ikihofiwa Uasi wa Jeshi

    Dogo anamaigizo gani mkuu huoni hayo mambo marekani ndo anatuletea waafrika kila siku Ugaidi... kafanya kosa gani yeye
  6. A child

    VOA: Zaidi ya Wanajeshi 80 wa Burkina Faso wauawa na Wanajihadi. Rais Traore akimbia Ikulu na kujificha ikihofiwa Uasi wa Jeshi

    Hapo kwa jicho la haraka wenye D 2 nadhan mmeshamfahamu anaetusumbua waafrika ni mmarekani yani kila kukicha anatuletea magaidi kuhakikisha hatusimami kwenye njia yetu ila Kuna watu bado wanafanya uchawa kumsifia marekani ....tutumie mawazo yetu vizuri wakuu #marekani_ni afui_wa_afrika
  7. A child

    Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

    Yote kwa yote... Vikngozi wenye asili ya Kanda ya ziwa tuwape maua yao wakifuatiwa na viongozi wenye asili ya kaskazini.
  8. A child

    Hawa madereva wa serikali waangaliwe kwa umakini sana watawaua viongozi wetu wote

    Hili swala magari ya viongozi kiukweli wanatuletea taabu kubwa barabarani, hebu chukulia mfano mpo zenu barabarani foleni halafu ghafla kiongozi anapita nyie mnaanza kuweka magari pembeni tena kwa uharaka chukulia huko pemveni mwa barabara Kuna boda boda wabaopenda kukaa ubavuni mwa Gari Kuna...
  9. A child

    PreGE2025 Kongole nyingi sana kwa mwenyekiti wa CCM taifa

    Nimesona details za taaifa yako sijaona cha muhimu ulichowasilisha ila tuu nimegundua wewe ni mjumbe wa Chama
  10. A child

    CCM: Bado kuna tofauti kubwa kati ya Tanzania ya Magufuli na Tanzania ya Rais Samia Suluhu

    Tofauti kuu ni moja tu yule alikuwa Baba bora na huyu ni mama bora... mwenye D 2 amenielewa
  11. A child

    Kwamba Afrika irudishwe kwenye ukoloni!?

    Mimi binafsi naona waje watutawale halafu tujikomboe upya ili kuondoa Hawa viongozi waliopo afrika hii
  12. A child

    Zamani ukisikia siku ya Bajeti ilikuwa Talk of the Town, Nchi ilizizima, siku hizi habari utaziona kwa uchache sana

    Uko sahihi kabisa, lakini hali hii inaweza kuwa imepelekewa na mambo ya viongozi wetu wanaokuwepo madarakani. Mfano mzuri tuu hivi unakumbuka awamu ya hayatti magufuli namna watu walijawa na hamu ya kufuatlia vyombo vya Habari kaka kutafuta Habari za nini setikali imefanya siku husika, serikali...
Back
Top Bottom