Yaaani ukishasema TU nampenda "LAKINI".....ujue haumpendi katika kweli,kwa sababu Kama ungekua unampenda katika kweli hiyo "LAKINI" isingeonekana badala yake ingefunikwa kwa upendo.
Lakini mpaka imeonekana,,it means your love to him is not 100% perfect,
Sent using Jamii Forums mobile...
Kumpigia magoti mwanamke hususani wakati wa kumvisha Pete,Ni ushaidi tosha kuwa unaendeshwa zaidi na hisia kuliko akili,
@@
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.