Recent content by A.Abdon

  1. A.Abdon

    Mzalendo recruitment, Waepukeni

    Forever living haizungushi viombo mbona mtaani mtoa mada weka vizuri hii.
  2. A.Abdon

    Pesa kuingizwa nchi moja toka nchi nyingine

    Nenda Monday pale BOT ukaulize swali ukiwabana sana wanaweza kukupa kibarua pale.
  3. A.Abdon

    Natafuta kibarua

    Wadau samahani kwa uandishi mbaya si mnajua kwa hizi smartphone kunakitu kinaitwa spell checker unandika neno yenyewe inakuletea neno tofauti wewe umadhani umeandika poa kumbe majanga .Mbarikiwe wadau ngoja niondoe hii kitu.
  4. A.Abdon

    Natafuta kibarua

    Gautama siunajua stress zinafanya hadi naandika kimakosa au kukosea herufi au neno zima.Pia sio kwamba katika interview zote nilizowai kuitwa sijawai pata kazi zipo nilizowaipata but ni contract job.Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.Uwe na usiku mwema.
  5. A.Abdon

    Natafuta kibarua

    Why not mdau Salih nipe details ya hiyo kazi itasound poa.
  6. A.Abdon

    Natafuta kibarua

    rolla Simu ukiandika kitu inakuja na neno ambalo inafikiri ndilo ulilotaka kuandika.Kama nitakuwa Nimekosea kuandika am sorry.
  7. A.Abdon

    Matajiri wakubwa 10 kwa utajiri barani Afrika mwaka 2014- Mo na Bakhresa hawamo!

    Kwamujibu wa gazeti la August 2014 Forbie magazine an Mengi alitoka front page.
  8. A.Abdon

    Matajiri wakubwa 10 kwa utajiri barani Afrika mwaka 2014- Mo na Bakhresa hawamo!

    Kwa Africa Rostam wa 27 na utajiri wa USD bilioni 1 Mengi wa 34 anautajiri wa USD milioni 550 na Bakresa na MO wamefungana ni wa 38 wana utajiri wa USD milioni 500 kwa mujibu wa Forbes magazines .
  9. A.Abdon

    Biashara ya kutengeneza na kuuza "Askrimu" (Ice Lollies)

    Challenge kubwa umeme ukikatika zinayeyuka.
  10. A.Abdon

    Natafuta kibarua

    Unajua sometime nashindwa elewa nimefanya biashara mingo za Pesa mingo kidogo had I kifungua kikampuni nimefanya hadi network marketingi.Nimeapply job mpka mwisho nimeapply scholarship kibao nimesoma hadi ILETS pale British Council.Cpati support kutoka kwa MTU yyote ndugu zangu wa frnd hakuna...
  11. A.Abdon

    Uelewa please kuhusu hii interview

    Walk away from problem
  12. A.Abdon

    Natafuta kibarua

    Kazurikazuri ijumaa kesho kwa Mwakasege sio.
Back
Top Bottom