Wadau samahani kwa uandishi mbaya si mnajua kwa hizi smartphone kunakitu kinaitwa spell checker unandika neno yenyewe inakuletea neno tofauti wewe umadhani umeandika poa kumbe majanga .Mbarikiwe wadau ngoja niondoe hii kitu.
Gautama siunajua stress zinafanya hadi naandika kimakosa au kukosea herufi au neno zima.Pia sio kwamba katika interview zote nilizowai kuitwa sijawai pata kazi zipo nilizowaipata but ni contract job.Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.Uwe na usiku mwema.
Kwa Africa Rostam wa 27 na utajiri wa USD bilioni 1 Mengi wa 34 anautajiri wa USD milioni 550 na Bakresa na MO wamefungana ni wa 38 wana utajiri wa USD milioni 500 kwa mujibu wa Forbes magazines .
Unajua sometime nashindwa elewa nimefanya biashara mingo za Pesa mingo kidogo had I kifungua kikampuni nimefanya hadi network marketingi.Nimeapply job mpka mwisho nimeapply scholarship kibao nimesoma hadi ILETS pale British Council.Cpati support kutoka kwa MTU yyote ndugu zangu wa frnd hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.