Habari!
Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao.
Dagaa hao wanapatikana kuanzia tani 1.
Bei ni shilingi 3000/= kwa kilo 1, ambayo itajumuisha usafirishaji wa...
Habarini wanajamvi, nilikuwa na wazo la biashara ya maji maarufu kama Water ATM lakini sina taarifa sahihi juu ya biashara hii, hivyo basi kwa yeyote mwenye taarifa yoyote juu ya biashara hii usisite kushare nasi, karibuni wanajukwaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.