Recent content by _pjc_

  1. P

    Ufugaji wa nguruwe

    Ni cross breed gani na bei ipoje
  2. P

    Nauza dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku/ mifugo

    Habari! Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao. Dagaa hao wanapatikana kuanzia tani 1. Bei ni shilingi 3000/= kwa kilo 1, ambayo itajumuisha usafirishaji wa...
  3. P

    Clinical dentistry na Clinical Medicine

    Degree wanaenda ukiwa GPA ya 3 and above ila kwa upande wa MD competition ni kubwa ila kama kiuwezo upo vizuri private unapata
  4. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Hii ya pili si ni maji kwa ajili ya kunywa? Kama ni hivyo basi ndo yenyewe
  5. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Vyote mkuu Kibiashara na Technical
  6. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Yeah tayari ila mikoani huku haijafika bado Labda kwa baadhi ya mikoa
  7. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Nahisi utakuwa umechanganya, kama ulishawahi kuona pale k/koo kuna sehemu wanauza maji sh 200
  8. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Nahisi utakuwa umechanganya, hii biashara ipo na inafanyika hata pale k/koo
  9. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Yes boss, je kuna mtu unaemfahamu mwenye taarifa juu ya hii biashara
  10. P

    Biashara ya maji maarufu kama Water ATM

    Habarini wanajamvi, nilikuwa na wazo la biashara ya maji maarufu kama Water ATM lakini sina taarifa sahihi juu ya biashara hii, hivyo basi kwa yeyote mwenye taarifa yoyote juu ya biashara hii usisite kushare nasi, karibuni wanajukwaa
  11. P

    Wauza smartphone tukutane hapa

    IPHONE 7 PLAIN FULL BOXED & SEALED PRICES [emoji3541]32GB tsh; 370,000/= [emoji3541]128GB tsh; 420,000/= USED PHONES FROM UK 32GB - 320,000 tshs 128GB - 370,000 tshs Clean As New EXCHANGE ALLOWED MIKOANI TUNATUMA TUNAPATIKANA KARIAKOO UHURU [emoji3513]0744180322
  12. P

    Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

    Ukiweka itapendeza zaidi kwa manufaa ya jukwaa
  13. P

    Advanced diploma vs Bachelor degree

    Nahisi umeona hapo juu guideline ya TCU
Back
Top Bottom