Wew ndio young boy, na kwa akili hizi wanawake watafaidika sana kwenye hela zako.
.
Kumbuka mtoa mada amesema shida yake ilikuwa ni mahusiano na sio ngono. Kuna todauti kati ya mahusiano na ngono.
.
Wake up young boy
Nachoweza kukushauri ni kuwa; ndoa ya miaka 3 bado ni ndoa changa. Changamoto za namna hii huwa zinaumiza sana lkn jipe mda huku ukiendelea kumfundisha atabadilika. Kumbuka kuwa wanawake wanachelewa sana kukua kiakili so mpe mda huku ukimuombea atabadilika
Shida kuokoka hamtaki.. ndoto ya namna hii ni ngumu sana kuishughulikia kikamilifu kama hujaokoka kwa sababu kuna vitu utashindwa kuvielewa, yani kuna namna ukielezewa hapa itakuwa ni ngumu sana ww kuelewa sababu unakuwa huna uelewa wa kiMungu.
Mpe Yesu kwanza maisha yako ili akusaidie kwenye...
Wezi bana...[emoji16][emoji16]
Emu fanya hivi, tafuta mtu ambaye hajaoa alafu kuwa nae kwenye mahusianoa, baada ya hapo mpe uhuru mwambie akuchit akutaftie bi mdogo hapo ndio utajua kama unapenda mitaala au laa!!
Mkeo anaakili kukuzidi wew! Kihalisia iphone 12/13 ni kama google pixel 4xl (haswa kwa nyie mnaonunua bland tu na hamna matumizi maalimu)
.
Kwaiyo fanya kama alivyokwambia amekusaidia sana
Huyu jamaa kamandika madin sana. Ni ngumu sana kwa ambaye bado hajaoa/kuolewa kuelewa alichoandika humu ila kwa walio ndani ya ndoa haswa wanaume lazima wakubali alichoandika jamaa.
Chadema sijuhi wanawazaga nini???[emoji848][emoji848]
.
Unawezaje kuingia kwenye uchaguzi kwa katiba hii yani unategemea nn hapo daah??[emoji28][emoji28]
Kiukwel mm nampongeza jamaa lkn pongezi zaid nampongeza huyo madam...
.
Kwa ulimwengu wa sasa wanawake wanapitia vishawishi sana ni rahisi kusema mke mwema ashawishiki lkn ulimwengu umebadilika mazee mambo ni mengi.
.
Kama unaweza kufany kitu na kikafanya mapenzi yenu yasonge mbele we fanya tu...
Bora wewe ulikopesha mm nilipewa nimfanyie kazi tena bila hata advance, nikaipiga ile kazi nikamaliza na siku ya kumkabidhi nilikodi hadi boda boda kumpelekea. kufika pale akaniambia hela atanipa baada ya siku mbili mbele..
hizo siku mbili ni miez kadha sasa kila nikipiga sim anasema badae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.