Habarini wakuu, ninaswali kidogo juu ya hii biashara ya kulipwa kwa kuangalia video youtube.
Juzi nilitafutwa na namba whatsApp yenye country code ya marekani na akaniambia kuuhusu kuingiza ela kwa kuview videos youtube, akanitumia link nika view then wakaniuliza namba ya aacount nikatuma...
Habari za wakati huu wakuu, naomba kuuliza Kwa mwenye ufahamu na Swalla hili.
Juzi kati nilikutana na link mtandaoni wanauza simu, computer pamoja na bidhaa nyingine za kieletroniki, nikajaribu kupitia pitia ile link ikanidirect WhatsApp na nikawauliza kama ninaweza kupata simu aina ya iphone...
Hivi mtu unaanzaje kuogopa watanzania wenzako tena mkiwa ndani ya Tanzania moja hii hii.ila wewe labda unamaatatizo yako tu mwenyewe sio kusema watu wa Arusha sijui Wana nini, hayo mambo ya ukorofi na ubabe wa ajabu yalikua zamani chuga ipo cool sana sahivi sioni unacho hofia. Labda tu uwe hauko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.