Hili limenikuta katika fomu yang ya mkopo. Ambayo jana helsb walitoa list ya majina ya wanafunzi ambao fomu zao zina .arekrbisho..
Ila mimi vyetu vyote vilipita Rita na kwa mawakili .
Nilikua nauliza hapa tatzo litakua wap?
Habar wanajamvi..nmekua nikitokwa na mapele kila baada ya kunyoa ndevu...na vimekua vkiwasha je nawez kutumia njia gani ili kuzuia au kuondoa kabisa tatzo hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.