Habari wadau! Kuna ndugu yangu amepata division three ya 14 combination ya CBG. Matokeo Yake ni kama ifuatavyo. GEOGRAPHY-D CHEMISTRY- E .BIOLOGY- E. GS- S. Naomba tumsaidie kumshauri asomee course gani chuo kulingana na matokeo aliyopata
Post sent using JamiiForums mobile app
Habari wadau! Kuna ndugu yangu amechaguliwa kidato cha tano kikaro secondary ila mpaka sasa hatujafanikiwa kupata joining instruction hivyo kama kuna MTU ana mawasiliano ya aina yeyote na hii shule Basi atusaidie
CCD kwa CBG ni ngumu sana kupata nafasi kwa government maana haja- balance combination, ufaulu wa combintion hiyo kwa Mwaka jana ni mkubwa sana. Wengi wao wamechukuliwa kwa ABB, BBB, BCC, na wachache sana wameanda CCC. Hivyo inabidi aongee kwanza na mkuu wa shule ili kujua msimamo wa shule ukoje.
Joining instruction ya Mtwara girls inafanyiwa marekebisho itatoka baada ya wiki moja. Hivyo wanafunzi wasichukue ile ya zamani ambayo IPO online.. Wasubiri Mpya inaandaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.