Kuna msemo unasema ...actions speacks lauder than words...,hakika tunajua ni kwamba kusomewa ilani tu ya CCM haitoshi tena ilani mpya badala ya kutueleza ile ya 2005-2010 then 2010-2015 tumefanya yapi na ni yapi tumeshindwa?.Hili la kutoa fifty million kila kijiji ni ili kusaidia nn wakati tuna...
unatoka mapovu ya nini, kwa nn usituambie miaka 53 ya utawala wa ccm mmwafanyia nn watanzaina? kuna usicho kijua kuhusu matatizo ya wananchi?. ww umevurugwa na huna point kalale
silaa ni mbunge? acheni kukurupuka nchi yenye neema kama hii watu walioenda shule wanaleta mada kama hii stupid,,,,,, fikiri kwanza ww inawezekana ww una hali nzuri kutokana na ulipo na unachokifanya ila pia inawezekana group inayokuzunguka yaani wazazi wako ndugu jamaa ni ombaomba acha uhuni
-------, acha upuuzi huu uzi wako hauna maana kabisa nipo hapa Moshi na usafi unarithisha waulize ccm alivyokuja Obama ilikuaje then nenda dar leo utujuze utakuta pakoje.cdm wanafanya kazi nzuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.