Narudia tena, asubuhi tuwe tunakunywa chai au uji!! Haya ndio madhara ya viroba na gongo.
wahi lumumba kachukue buku 7 yako leo ni nusu siku
Narudia tena, asubuhi tuwe tunakunywa chai au uji!! Haya ndio madhara ya viroba na gongo.
CCM ni chama kilichokosa dira hapa duniani hata Marehemu Kolimba aliona hilo. CCM ipo kwa sababu ya usalama wa taifa na majeshi ndio wanaoibeba
Ilitakiwa uandike ACT inawanyima usingizi chadema, kila wakilala wanaiwaza ACT kuliko saccos yao. ACT mwendo mdundo
Kamanda unaweza kunipa matokea ya Kelenga na Chalinze kuna mtu kaniomba mimi sina.
Mkuu wanaganga njaa huko lakini wao wanajua fika kuwa ccm ni afadhali ya jini lina huruma sio ccmda cijui ni kwa nini vijana wanashabikia ccm, nasema kikwetwe angeongoza tena miaka 5 ijao Tanzania ingekua nchi ya ajabu na masikini zaidi duniani
Unadhani ni kwanini ccm inapendwa mahali pasipokuwa na maendeleo ?Kamanda unaweza kunipa matokea ya Kelenga na Chalinze kuna mtu kaniomba mimi sina.
wahi lumumba kachukue buku 7 yako leo ni nusu siku
Kwahiyo tukusaidie nini? Isitoshe majina yanatumika na watu wengi mfano John au Hamad hapa Tanzania ni wengi sana. Hivyo hoja yako haina mashiko wala mvuto na inaonyesha wewe ndio ulizungusha ndio maana huna akili unashabikia chama cha kihafidhina na ugaidi. Very idiotKuna jamaa nilisoma nae "O leve" anaitwa BUJASH kila mtihani alikuwa anakuwa wa mwisho. Necta akapiga O.
Ni kuwa sehemu isiyo na maendeleo wanaipenda ccm kwa sababu kichwani hakuna kitu ndio maana panakuwa hapana maendeleo. Ritz nimekusaidia kujibu najua hutaweza kujibu vizuriUnadhani ni kwanini ccm inapendwa mahali pasipokuwa na maendeleo ?
da cijui ni kwa nini vijana wanashabikia ccm, nasema kikwetwe angeongoza tena miaka 5 ijao Tanzania ingekua nchi ya ajabu na masikini zaidi duniani