Recent content by 7seven

  1. 7seven

    GE2025 Mama Salma Kikwete kugombea ubunge ni kujivinjia heshima aliyoijenga miaka mingi

    Inashang Inashangaza sana ndg yangu,ila ndiye bosi wa bosi mkuu ,halafu anasema hatutakiwi kushangaa ni jambo la kawaida tu hilo.!!!?
  2. 7seven

    GE2025 Mama Salma Kikwete kugombea ubunge ni kujivinjia heshima aliyoijenga miaka mingi

    Ni mambo ya aibu tu na fedheha kwa familia. Watu hawapendi kutosheka kabisa na madaraka.
  3. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    ROHO YA MAUTI KWA MZALIWA WA KWANZA. Roho ya mauti kwa mzaliwa wa kwanza na malango yake yote ya uchumi ya mzaliwa wa kwanza ambayo yanatokana na vifungo vilivyopo kwenye ardhi kwa kutumia vitu asilia vya maeneo anayoishi mzaliwa wa kwanza. "Malango ya mzaliwa wa kwanza yanakombolewa na...
  4. 7seven

    Haya ni maono yangu ya usiku!

    Mwezi ni mwanamke ambaye ni MAMA,na nyota ndogo ni mtoto.Mwezi kuanguka chini maana yake mama ameanguka (amefariki). Nyota ambaye ni mtoto naye amekufa pia. Watu wenye mavazi meusi wanaelekea huko kulikoanguka mwezi wakiwa na kiongozi mkubwa,walikuwa wanaenda msibani kuomboleza hivyo...
  5. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Hapana mtu wa Mungu, yeye hahusiki na chochote labda kama amefunuliwa kivyake ila hata huyo aliyepakwa mafuta hawafamihani kabisa wala hawana mawasiliano ya kimwili. Mungu tu aliamua kutumia sura yake na mwili wake kutokana na uchaji wake kwa BWANA.
  6. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Hata mimi sifahamu vizuri Kwa kweli hata mimi ukiniambia ni nani simjui maana sijawahi kuonyeshwa yeyote, ila somo langu hapo la umbea ukilisoma vizuri utaona nimejaribu kuongea tu kwa hekima kwasabab Nimeandika ujumbe wa umbea utapata picha fulani maana mimi sipo katika kuwachagulia watu ila...
  7. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    UMBEA NAO NI HABARI,LAKINI SIYO KILA UMBEA NI HABARI. Katika pita pita zangu nikakutana na habari za hapa na pale zinazohusu nyakati,majira,nabii na mambo mbali mbali yanayoendelea duniani. Kwa kuwa ninapenda kujifunza na kusikia watu wengine wanasemaje, nikatega sikio langu vizuri ili...
  8. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    UMBEA NAO NI HABARI,LAKINI SIYO KILA UMBEA NI HABARI. Katika pita pita zangu nikakutana na habari za hapa na pale zinazohusu nyakati,majira,nabii na mambo mbali mbali yanayoendelea duniani. Kwa kuwa ninapenda kujifunza na kusikia watu wengine wanasemaje, nikatega sikio langu vizuri ili...
  9. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    TAHADHARI KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA NCHINI TANZANIA. Wakuu, poleni na majukumu mazito ya kuilinda nchi yetu na mipaka yake.Pia hongereni kwa kazi njema mnayoendelea nayo kuhakikisha wahuni wote wanapotea na kuacha kuleta taharuki katika nchi yetu. Leo nimeona niwapongeze lakini pia...
  10. 7seven

    Karma imelipa tayari.

    Safi sana,hata hawa wengine wanaoteka watu na kuwaua katika awamu hii nao watatafutwa na kushitakiwa na kuhukumiwa. Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga,ni suala la muda tu haki ya Watanzania walioumizwa na kudhulumiwa haki yao ya kuishi itapatikana, iwe ni kwa jasho au kwa damu, lazima watu...
  11. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    ROHO TATU KUTOKA MAVUMBINI ZAINUKA JUU YA TAIFA LA TANZANIA. Habarini ndugu zangu Watanzania na watu wote waipendao nchi yetu katika amani na utulivu duniani kote.Amani iwe juu yenu. Kuna mambo nitayazungumzia hapa katika muktadha wa kiroho na kimwili ili kuwapa picha ni nini kinaenda kutokea...
  12. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    EWE TANZANIA SIKIA NENO HILI. Tega sikio lako unisikie vizuri,maana ninataka kusema na wewe,ili ujue kusudio langu kwako. Uliniita, Nami nimekusikia;hivyo Ninataka kusema na wewe. Sikiliza Tanzania.Maombi yako,sala zako,dua zako,toba yako na Sadaka zako za amani ulizokuwa ukinitolea katika...
  13. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    "LAANA YA MAJIVU KATIKA NCHI." ISAYA 61:3 Kuwaangazia hao waliao katika Sayuni,wapewe taji la maua badala ya majivu;mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito,wapate kuitwa miti ya haki iliyopandwa na BWANA ili atukuzwe. Majivu ni kifungo kinacholetwa au...
  14. 7seven

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    ISAYA 28:6 Roho ya Mungu ya hukumu aketiye ili ahukumu pamoja nao wageuzao nyuma vita langoni. ISAYA 28:13 Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri;Kanuni juu ya Kanuni;huku kidogo na huku kidogo, ili waende na kuanguka nyuma,na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa. Mauti...
  15. 7seven

    Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    "Ficha vyanzo vyako vya mapato. Waonyeshe matumizi." Usiwe mwepesi wa kutoa toa misaada wakati bado uchumi wako haujakaa sawa,kwasababu hao unaowasaidia hawatakusaidia siku ukiyumba kiuchumi. Usimuamini mtu kupita kiasi hata kama ni ndugu yako maana adui wa mtu ni wa nyumbani mwake mwenyewe...
Back
Top Bottom