Recent content by 7e153nrdyyf

  1. 7e153nrdyyf

    Naombeni muongozo wa kuwa programmer

    hamia forum ya tech,gadgets and science forum.hii forum sio
  2. 7e153nrdyyf

    Kozi ipi naweza soma na ina faida mbeleni kwa ngazi ya cheti?

    ukiwa na F ya math coz za engineering ni ngum sana ww kupat hat kama ukipata basi jua huko mbelen ukimaliza diploma watakuambia ulikua huna vigezo vya kusom engineering hapo cha kufany ni kusoma masom ya biashara t hakun kitu kingine ukiend kinyume na hicho nachokisema itakuletea shida sana mbelen
  3. 7e153nrdyyf

    DOKEZO Wanafunzi wa Muhimbili tulioomba mkopo kwa Diploma hatujapata, HESLB wapo kimya na Udahili unafungwa wiki ijayo

    mkopo kwa ajili ya watu wa diploma ni kwa ajili ya watu wanaosoma ngazi ya diploma sio waliotoka diploma.alietoka diploma wanaku consider as equivalent sawa na mtu wa form six.so mkopo wako upo ndan ya zile bil731 na sio 48bil za wat wa diploma
  4. 7e153nrdyyf

    Website ya UDSM mbona haiko User friendly? Tatizo nini?

    sasa unataka kuangalia majina ya watu wengine kwann.we inaonekan unapend kufuatilia maish ya wat
  5. 7e153nrdyyf

    Website ya UDSM mbona haiko User friendly? Tatizo nini?

    utaratibu wa kuangalia selelction si walishautoa mda mrefu sana kwamb ukitaka kuangalia kama umekua admitted udsm u log in kweny account yako.sasa mbona kisiran sana jamaa ang.kila chuo na utaratibu wake.kila siku mada hua zinaanzishw tu mara sijui chuo fulan VS udsm.shida hua nin ndug zang
  6. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    hi ambay imeanz na 2023-04-
  7. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    wakuu weken no humu japo hata kidg tutengenez group la whatsap il tuwe in touch kwa pamoj
  8. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    kama kuna mtu anawez anaeza tengeneza group la whatsap ili tuwe in contact vzr m no yang n 0774738793
  9. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    fanyeni ku rename wazee ionekane kama hi yangu.mwishon kabisa iwe .pdf ili ifunguke vzur kam m ni rename baada ya kuona haifunguk nikaamua kui rename .pdf then ikafunguka
  10. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    aaah nimekuelewa shida nini.yan pale kweny admission letter.imeandikwa .pdf.html sasa cha kufanya we i rename badala ya kua .pdf.html wewe name .pdf ndo itafunguka wazee kwel kabis
  11. 7e153nrdyyf

    Bodi ya mikopo kutoa mikopo kwa level ya diploma ina maana wako 'Satisfactory' kwa level ya degree

    hata mimi huyo jamaa sijamuelewa anamaanisha nin. yan kuna watu wanatoa majibu ya kisirani tu
  12. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    kama kuna shida nadhan jarbu usku au kesho maana wanashughulikia mpka na reg no ya first year wote so nadhn n kam process hiv ya kusubir
  13. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    zimekuja zote admission letter,joining na registration form
  14. 7e153nrdyyf

    Msaada wa kupata Admission letter!

    m nilifanikiwa tokea jana baada ya kupata taarifa kupitia account ya the student ya insta
Back
Top Bottom