Wiki iliyopita ilikuwa hapa Mwanza wilaya ya Misungwi,wafanya biashara walifanya mgomo kwa siku nzima,hawakufungua biashara zao..Wakilalamikia service levy ni kubwa na hawajapewa elimu juu ya hiyo kitu✍
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.