Recent content by 6By6 Miguno

  1. 6By6 Miguno

    Mange Kimambi watu wanakusikia, ili wakuelewe vizuri hakikisha unafika kwenye maandamano ili ufe nao kinyume na hapo wewe ni Mhalifu na Tapeli

    Kuacha shughuli ya kupost connections iliyompa mamilioni na kuamua kufocus na siasa tu enyewe ni upendo ambao sijawahi kuona.
  2. 6By6 Miguno

    GE2025 Kwanini maandamano ya 29 October yatafeli vibaya sana

    Natoa madini mnakaza shingo, Kama unahisi ulishinda haya sawa? Ungefiwa na ndugu zako ungenielewa ila kwa kuwa ukoo wenu wote waoga ndo maana mpo salama.
  3. 6By6 Miguno

    GE2025 Kwanini maandamano ya 29 October yatafeli vibaya sana

    Haya sawa, Keyboard warrior nawaelewa vyema kwanza unakuta wakati huo ulikuwa chini ya uvungu wa kitanda hutaki shida na mtu, Ungekuwa front wewe si ungekuwa kwenye kesi ya uhaini mbona uko gheto sahivi mguu juu na mkono ndani ya boksa uanajisabahi ngogwe
  4. 6By6 Miguno

    GE2025 Kwanini maandamano ya 29 October yatafeli vibaya sana

    Mkuu kama yalifaulu mbona yanapangwa mengine? Unajua maana ya maandamano kwanza? Me nimetoa somo kama yakienenda kwa uzembe uleule nakuambia tunarudia kuzika.
  5. 6By6 Miguno

    GE2025 Kwanini maandamano ya 29 October yatafeli vibaya sana

    Mdomo mwingi, Mdomo wa mtandaoni ulifanya wasiotaka hiyo kitu wajiandae vyema, Huku ninyi mmebweteka na kuongozwa na hasira ya visasi. Ukosefu wa mbinu/Plans, mtu hajui aanzie wapi akamalizie wapi jambo ambalo linaondoa uzito wa maana halisi ya maandamano. Unafiki, Mtu saa moja kaenda kupiga...
  6. 6By6 Miguno

    Vijana mnafel wapi? Jiaminini

    Labda uwe na muonekano... Nje na hela wala muonekano hapo labda uloge au ukute pisi gonjwa imeamua kukugaia wadudu.
  7. 6By6 Miguno

    Sipo tayari kuandamana tarehe 9 bila silaha ya moto, Bora nilale

    Jamaa wenye tee nyeusi wanakuja hadi nyumbani wanakuua ukiwa unaangalia Jua kali.
  8. 6By6 Miguno

    Propaganda ya “Watanzania ni waoga, wanaandamana mitandaoni” imekufa rasmi

    HAKUNA MWANADAMU TIMAMU ASIE MUOGA, KILA MOVE LAZIMA IWE CALCULATED... SIO KOSA WALA UPUMBAVU TENA KWENYE NCHI TULIYOPO ISIYOTHAMINI UHAI WA MTU MMOJA LAZIMA UENENDE KWA KUJILINDA.... MTU AKIWA MUOGA HAIMAANISHI KUWA HAWEZI KUWA JASIRI NA PIA JASIRI ANAWEZA KUWA MUOGA VILEVILE. NIONESHE...
  9. 6By6 Miguno

    Kilichobadilika Tanzania kwa sasa

    Miaka michache nyuma tuliogopa sana kifo, Ni dhahiri kuna wenzangu na mimi ambao tulikuwa hatuna hata ujasiri wa kushuhudia maiti kwa macho. Uongozi huu umefanikiwa kutubadili kwenye roho, Kutoka uzuri hadi ubaya, woga hadi ujasiri. Nakiri kusema kwamba kufika hivi sasa tumekuwa majasiri sana...
  10. 6By6 Miguno

    GE2025 Hivi tatizo ni mgombea au ni chama au ni mfumo?

    VUNGA TUPO MWISHONI MWA UPUMBAVU.
  11. 6By6 Miguno

    Mtazamo wangu juu ya yanayoendelea nchini Tanzania kwa sasa

    Ikiwa kesho ni siku ambayo kila mmoja wetu anategemea inaenda kuwa siku ndefu isiyotabirika… Huku wengine wakiwa na wasiwasi, Wengine wakiwa very excited pia kuishuhudia maana ni siku yenye utata kuwahi kutokea nchini mwetu kutokana na siasa zetu. Mtazamo wangu wa kwanza ni kwamba Tanzania...
  12. 6By6 Miguno

    Je, Ni changamoto ya afya ya akili?

    Mfano mdogo ni hawa watu humu ambao kila kukicha wanaunga mkono serikali hii yenye makandokando, Serikali hii waiungayo mkono imeifungia JF, Lakini wao wanatumia VPN kuendelea kubangaiza humu.... Sasa unajiuliza huyu mtu gani ambae anashindwa kuitii hata serikali anayoiunga mkono!!? Mtandao...
  13. 6By6 Miguno

    GE2025 Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura?

    Hapana hujawazuia bali umezuia zoezi zima.
Back
Top Bottom