Vijana mnafel wapi? Jiaminini

Vijana mnafel wapi? Jiaminini

Mkuu acha kabisa .
Kwanza naskia umepata mdada wa rwanda unakula maisha tuu mkuu..

Vipi utaingia rwnda kaka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tunaishi hapahapa, mjomba wake kaja kutujulia hali juzi tu hapa.

Ati ana undugu na PaKa
 
Tunaishi hapahapa, mjomba wake kaja kutujulia hali juzi tu hapa.

Ati ana undugu na PaKa
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ Daaah jamaa una bahati sana aiseee sijapata kuona et

Wamama ka hao unapataga wapi mkuu
 
Njoo vingunguti wamejaa tele
Hapa mtaa kuna limama huwa linataka huduma sana ila sasa mpaka naogopa maana hapa mtaani nishavuka ile barrier ya kijana wa hovyo an wakiniona na huyu tena wanaweza hisi nina dawa maana ni maza wa duka la dawa..

Hii mdo inafanya nije huko mkuu
 
Hapa mtaa kuna limama huwa linataka huduma sana ila sasa mpaka naogopa maana hapa mtaani nishavuka ile barrier ya kijana wa hovyo an wakiniona na huyu tena wanaweza hisi nina dawa maana ni maza wa duka la dawa..

Hii mdo inafanya nije huko mkuu
We kijana mganga aliekurogerezea mimama ashakufa, hamna tiba dadeki ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Labda uwe na muonekano... Nje na hela wala muonekano hapo labda uloge au ukute pisi gonjwa imeamua kukugaia wadudu.
 
Naona umedislike.
Naomba niongezee.

Bro Kila mtu ana pisi kali yake.

Ila Pia jua Pisi ambayo ww unaona kali pamoja na kujiamini kwako inaweza kuwa ya kawaida tu kwa Busu la Kenge na isimsumbue.

Na Kujiamini tu hakutoshi.
Labda kwa hao wasichana wadogo.

Ila Ukikua utajua kuwa bila SASAMPA Huwez kujiamini.
Ukiwa na sasampa unatembea na mamlaka..

Heshima pesa mjini... huwezi kujiamini ukiwa hauna japo vi sasampa vya hapa na pale

NB. Mimi nilisha tundikaga daluga zamani sana ni mstaafuu kwa sasa
 
Sio kushindwa kujiamini isipokua vijana wameanza kubadilisha focus. Wamegundua mbunye is not worth making your life miserable for. Insteady of chasing women, chase your dreams. Then women will chase you, from there your job will be to choose who is align with your standards
 
Back
Top Bottom