Jamaa mmoja anaishi na demu wake sa mara nyingi huwa akitoka analudi usiku,
siku inayofuata jamaa katoka kama kawaida akapitia maskani kwao,Bas yule demu wake akaingiza mwanaume ndani,
Imefika jioni yule mwanaume akataka kuondoka, yule demu akamzuia na kumwambia leo anataka alale palepale
Jamaa...