Ni kweli kwa sasa bodi hikitaka kuthibitisha taarifa wanaendea eneo jina lilipo yani kama nisehemu ya baba wanasoma jina la baba na wanaringanisha na fomu uliojaza
Jina langu kwenye vyeti vyangu vyote ,pamoja na nida linafanana,yan mfano john kulwa sembo,
na taarifa za jina la baba kwenye nida yake pamoja na cheti changu cha kuzaliwa ni Frank kulwa sembo je kuna athari zozote kwenye bodi ya mikopo 2025 2026
NI VYETI GANI VINAKUBALIKA (BIRTH/DEATH CERTIFICATES) KATIKA KUOMBA MKOPO HESLB 2025?
Conditions Nne kwa Cheti cha Kuzaliwa;-
- Sehemu ya Entry Numbers iwe na Tarakimu tupu bila alama yoyote ile.
- Sehemu ya Child's Name iwe na Majina Matatu kwa kirefu, na sio Jina Moja au Majina Mawili.
-...
Hii ni dalili ya kupunguza watu wa mikopo ya elimu ya juu na diploma kwa namna fulani hivi,haiwezekani unaleta mfumo watu wako uliowachagua hawajui kama mfumo ni mpya basi toa mafunzo mwaka mzima sio unatoa mafunzo juju halafu zoezi la kuapply mikopo ni miezi tu
Piga udereva tu halafu tufuta michongo hapa hapa kuliko kwenda mbali huko kwenda kuanza moha
Sio kila unachokiona ikifanye na sio kila unachokisikia ukifata AMAN YA MOYO NI BORA SANA KULIKO MANENO ELFU 1 YA MOTIVATORS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.