Waambieni na wabunge wenu wa CCM wagukuzwe nchini kabisa maana ndo huwa wanapiga porojo badala ya kusimamia serikali na pia Mkapa na Kikwete na wenzake warundikwe ndani.
Alichochea ni kipi haswa mpaka atiwe mboko hadharani, hao waliomchapa kwa lugha rahis hawajafunga na kana wamefunga bas funga yao haina maana tena, mwisho unasiki wanasema hapa si bara, maana ake nini ? Ubaguzi mtupu na WAP ndio wachochezi
Mkuu, unajua hili taifa lina watu ni hasara tupu kabisa, yaani wamesomeshwa tena Burr acha as tunaotafutwa kulipa bumu walotupatia, lkn wao pamoja na faida hiyo wanaingiza taifa kwenye hasara tupu, kuna wengine wanajiita wasomi professors, masters and degree Holders ukikuta wanaongea na kutenda...
Unakiwa kurudi katika misingi bila ya kuchukua jambo jujuu Mkuu, walijificha au mfumo ndio uliruhusu watu kufanya hivyo, Mimi ni mwajiriwa na unaporipoti kazini huwa unakaguliwa vyeti na wanaviscan. Ilikuwaje watu wakaenda bila vyeti wakakaguliwa na wakaingia kazini na kufanya kazi muda wote...
Watu wametumikia taifa kiasi hicho unasema wameiba , hongera sana rais kwa hili nakupongeza , hebu fikiria MTU amefanya kazi ndani ya miaka 30_40 walikuwa anastafu mwezi wa 5 au 6 anaondoka bila kitu na muda wrote alikuwa busy anatumikia taifa , Leo unamwondoa kinyamela bila chochote, nafikir...
Hujajenga hoja yote, unatetea kizembe kabisa, kwani angeenda ilikuwa shida, ushirikina upo na utakuwepo hata karne ya thelathini na tano , vitabu vya dini pia vinataja habar ya shiriki, uchawi na hats majini wewe no nani hata useme hakuna ?????
Utetezi wa kizembe hapa tunaangalia in msiba wa aina gani kwa taifa na umegusa vipi jamii misiba mikubwa yote kuanzia maaskar hawa watoto na janga la Bukoba alikimbia hakuenda, labda wa Masabur ndo ulikuwa wa kitaifa acha bhana jamaa anachemka hats kama tukitetea kiss gani , utu wake no mdogo sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.