Recent content by 4400

  1. 4400

    Mama J, shabiki wa Yanga

    Mauno gani analazimisha tako licheze na halichezi
  2. 4400

    Dkt. Luis Shika ni nani? Tumfahamu zaidi

    [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  3. 4400

    Dkt. Luis Shika ni nani? Tumfahamu zaidi

    Wale walitaka kujisogeza, unajua pesa bhana, ila wanawake mhhh kazi wanayo maneno tu wakapagawa angetoa je?
  4. 4400

    Dkt. Luis Shika ni nani? Tumfahamu zaidi

    Mia Tisa, hajasema milioni, mjanja jamaa
  5. 4400

    Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    Major generally mwenyewe mstaafu, na nahisi ni mazigaombwe yu yale
  6. 4400

    Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    Hapa umerukaruka Mkuu, kuwa makamu wa rais na wazir Mkuu kama vile hawapo
  7. 4400

    Swali kwa Lissu: Mkataba wa MIGA unasemaje kama kampuni inafanya kazi bila kusajiliwa?

    Waambieni na wabunge wenu wa CCM wagukuzwe nchini kabisa maana ndo huwa wanapiga porojo badala ya kusimamia serikali na pia Mkapa na Kikwete na wenzake warundikwe ndani.
  8. 4400

    Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

    Alichochea ni kipi haswa mpaka atiwe mboko hadharani, hao waliomchapa kwa lugha rahis hawajafunga na kana wamefunga bas funga yao haina maana tena, mwisho unasiki wanasema hapa si bara, maana ake nini ? Ubaguzi mtupu na WAP ndio wachochezi
  9. 4400

    Wakurya shikamooni....!!!

    Hii umeokota Mkuu, inaonekana hujui kabisa lafudhi ya wKurya
  10. 4400

    Tukiolewa mifumo yetu ya mwili haibadiliki jamani...

    Kwani samaki hupewa chambo akisha naswa? Ni kawaida mengine huwa tunafanyaje kuwavutia baada hapo mambo yanarudi pahala pake
  11. 4400

    Nimeanza kuwaelewa wapinzani kwanini wanasusa Bunge

    Mkuu, unajua hili taifa lina watu ni hasara tupu kabisa, yaani wamesomeshwa tena Burr acha as tunaotafutwa kulipa bumu walotupatia, lkn wao pamoja na faida hiyo wanaingiza taifa kwenye hasara tupu, kuna wengine wanajiita wasomi professors, masters and degree Holders ukikuta wanaongea na kutenda...
  12. 4400

    Rais wetu anakera, iweje uwalipe uliowaita majambazi fedha zetu za kodi?

    Unakiwa kurudi katika misingi bila ya kuchukua jambo jujuu Mkuu, walijificha au mfumo ndio uliruhusu watu kufanya hivyo, Mimi ni mwajiriwa na unaporipoti kazini huwa unakaguliwa vyeti na wanaviscan. Ilikuwaje watu wakaenda bila vyeti wakakaguliwa na wakaingia kazini na kufanya kazi muda wote...
  13. 4400

    Rais wetu anakera, iweje uwalipe uliowaita majambazi fedha zetu za kodi?

    Watu wametumikia taifa kiasi hicho unasema wameiba , hongera sana rais kwa hili nakupongeza , hebu fikiria MTU amefanya kazi ndani ya miaka 30_40 walikuwa anastafu mwezi wa 5 au 6 anaondoka bila kitu na muda wrote alikuwa busy anatumikia taifa , Leo unamwondoa kinyamela bila chochote, nafikir...
  14. 4400

    Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli something is wrong here!

    Hujajenga hoja yote, unatetea kizembe kabisa, kwani angeenda ilikuwa shida, ushirikina upo na utakuwepo hata karne ya thelathini na tano , vitabu vya dini pia vinataja habar ya shiriki, uchawi na hats majini wewe no nani hata useme hakuna ?????
  15. 4400

    Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli something is wrong here!

    Utetezi wa kizembe hapa tunaangalia in msiba wa aina gani kwa taifa na umegusa vipi jamii misiba mikubwa yote kuanzia maaskar hawa watoto na janga la Bukoba alikimbia hakuenda, labda wa Masabur ndo ulikuwa wa kitaifa acha bhana jamaa anachemka hats kama tukitetea kiss gani , utu wake no mdogo sana
Back
Top Bottom