Et ni kwel kwamba ukipenda mara ya kwanza ndo upendo wa kwel.,na kama ikitokea mmeacha na yule uliyempenda mara ya kwanza ukampenda mwingine je huo una kuwa ni upendo wa kweli au ni maigizo tu.?
Tatizo post zinachelewa tumechoka kukaa nyumban maisha ya kitaa yanachoshaa hasa km umexoma tuition wee umechoka unapumzika t ila sasa na kukaa hm shida tuuu
"To every action their is an equal and opposite reaction" jamaa alikuwa hafahamu ile ukiiba ujue kunakukamatwa,usipofanya kazi utakufa njaa.,usiposoma kwa bidii kufeli kunafuata.,ukifanya ngono ovyo mimba/ukimwi unafuata.,kuchepuka mwisho lazima uumbuke tu kwa sababu you are a cheater"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.