Recent content by 314

  1. 314

    GE2025 Sativa na Nuruvan wamehujumu maandamano na kuonekana ni uhalifu

    maandamano ya amani afu unachoma miundo mbinu ambayo inasidia wengine kwa kigezo tukose wewe aah ujinga tusiupe nafasi kila mchuma janga hula na wa kwao jaribu la kupindua serikali ni uhaini na uhaini adhabu yake ni kifo tulee watoto kwenye maadili na upendo hawa chadema na activists wote...
  2. 314

    Iran wamejitafutia matatizo

    Usiweke bibilia huku hii islael unayoiongezela ni political state ilitoanzishwa 1849 kinachopiganiwa hapa ni nguvu ya ushawishi katika dunia kutokana na rasilimali zilizopo mashariki ya kati. wazungu ni wapuuzi sana wanataka waimiliki dunia acheni Iran asimamie mitazamo yake na
  3. 314

    US kashambulia hewa Iran ilihamisha Kila kitu kwenye vinu vya nuclear vilivyopigwa

    Nuclear facility ziko deep undergroud marekani kapiga makombola surface kama jamaa wana mitambo hiyo marekani na islaeli wanayowatuhumu basi ngima bado sana
  4. 314

    PreGE2025 Rais Samia acha kusema uongo na kukuza mambo. CHADEMA ilihamasisha mabadiliko ya uchaguzi sio vurugu

    kwanza mseme mnataka uchaguzi au hamu utaki ili tujue mnachopambania ni nini maana mnalia lia sana mpk mnakera
  5. 314

    FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | 28 Februari, 2025 | CCM Kirumba

    kuna namna hii mechi inaonyesha Either yanga ni mzuri sanaa au soka letu lina safari ndefu sana
  6. 314

    Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

    Thamani ya mwanamke ni bikra kwanza kuna asilimia kubwa ya kuridhika na wewe sababu hana reference point bikra ni zawadi kwa mwanaume kutoka kwa mwanamke bikra ina thamani kubwa sana Oa mwanamke bikra utapata Amani ya nafsi huyo atakua Mali yako wewe
  7. 314

    Nampongeza Mbowe, Mtoto Wake Nicole Mbowe

    Haya maandiko yakibadirishwa kidogo mtu anatekwa
  8. 314

    Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

    watu wana manung'uniko kuhusu ndugu zao kutekwa hata kama hajui kinachoendelea ila nafsi inamsuta sababu ye ni mzazi
  9. 314

    Nishaurini usiku huu kuhusu huyu binti kabla hakujakucha

    you will daaa.... heee utakufa vibaya wewe
  10. 314

    Hivi vidada vya saloon za kiume mnatutendesha dhambi wakati shetani hafahamu

    wait.. we unaweza fanyiwa scrub au kuoshwa nywele na mwanaume mwenzio?
  11. 314

    Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

    turudi kwenye misingi ya zamani mwanaume aoe wanawake atakao. Ni rahisi kumudu wake wa tatu kuliko mmoja maana itatengeneza wivu na heshima wake watakua na wivu na pia wataheshimu mume wao
  12. 314

    Maamuzi ya kesi ndogo katika Kesi ya Mbowe na Wenzake kutolewa Oktoba 19, 2021

    mpaka sasa siwezi amini jeshi la polisi wana ukatili sana hawa watu
  13. 314

    Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

    kama Movie ila kuna siku mtu atalipia haya yote walahi
Back
Top Bottom