Recent content by 2ndgeneration

  1. 2ndgeneration

    Ukiegesha gari vibaya, faini kwa gari ndogo ni Tsh 200,000 na Tsh 10,000 ni gharama ya gari kulala yard kwa siku moja

    Faini iwe rafiki sh.5000 inatosha sambamba kupaki lory sehemu ya biashara kushusha na kupakia mzigo wanata laki 2 yaani wachawi wa biashara hawa.
  2. 2ndgeneration

    Miaka 5 baada ya kifo cha mzee Moses Kulola: EAG(T) inaangamia

    Upande mmoja ukubali kupoteza Muanze upya yaani majengo na mali za kanisa Si Yesu alivyo tuitia. Piga chini Maana shetani ka simama hapo. Halafu tujipange kiumoja na kanuni za msingi wa Eagt upya ambao ni endelevu hii hajalishi utapoteza magorofa mangapi ya EAGT.Haya majengo na Mali hatutapaa...
  3. 2ndgeneration

    Wamiliki wa ving'amuzi waongeza machungu

    Mnaonaje tukirudisha mfumo wa Satelite.all chanels free.
  4. 2ndgeneration

    Wanawake mnakaa uchi kwa makusudi au bahati mbaya?

    Hiyo idara hainaga aibu hata ikitokea umeona na amejua hatahudhunika ila atacheka sana.
  5. 2ndgeneration

    Watumishi wa umma wanapitia mazingira magumu sana

    Maslah yanamata katika kuleta ufanisi na ubora wa huduma au kazi Vijana ambao watu wanadai wapo wengi na wanalilia kazi hizo uzoefu Hawana wanaitaji wajifunze kwanza kwa wenye uzoefu,na hata wakiingia kazi ambazo wenzao wameshindwa kutona maslai/mazingira duni watafanya kwa mda tu huku...
  6. 2ndgeneration

    Madhabahu yenye nguvu za Mungu

    Njo TAG kijitonyama.
  7. 2ndgeneration

    Gari aina ya Landlover discovery 3 v6 ya diesel

    Ninaa wazo la kutafuta gari hiyo nini Changamoto zake kwenye matumizi ya mafuta Na nini kinasumbua mara kwa mara na gharama ya hiyo/hizo spea mwenye uzoefu plz.
  8. 2ndgeneration

    Changamoto ya gari discovery 3 na 4 katika matumizi

    Ninawaza kutafuta gari hizo kwa ajiri ya matumizi ya bara bara zote. Mwenye uzoefu plz.
  9. 2ndgeneration

    Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

    Nafikiri motivation kwa mfanyakazi ni Mhimu watumishi wa wa uma wongeze kila kama ilivyo hko nyuma kuwafikia wa mashirika.
  10. 2ndgeneration

    Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

    Swala sio kupunguza kwa sababu hata hao wachini wanatakiwa waboreshewe kuwakuta taasis zingine. Mishahara viongozi waliweka hayo maboresho ikiwa ni pamoja na mishahara kila mwaka. Kupunguza kutashusha morary za kazi za watumishi na kusabisha watu wasio na uzoefu kushika nafasi kutokana na...
  11. 2ndgeneration

    Rais Magufuli: Nimeidhinisha shilingi bilioni 147 mikopo ya wanafunzi, nitashangaa wanachuo wakihangaika

    Du Raisi mnataka aweje jaman hapo apewe pongezi upande huo kafanya vizuri.
  12. 2ndgeneration

    Kwa mnaomiliki magari someni hii taarifa kuhusu stickers za wiki ya nenda kwa usalama

    Naona Shida hapo fedha, waweke tu kwenye mafuta tujue moja kuliko kutupotezea muda wa kujazana kwenye vituo vya polisi na mafoleni yasiyo na tija. Tafsiri ya gari bovu nafikiri zinaeleweka huitaji hata kumuona inspector. Na sheria za kubana hilo zipo. Au hako ka stika wauze bei ilio jumuisha...
  13. 2ndgeneration

    Nahitaji kiwanja kati ya Makongo na Goba stand bei isizidi 16m

    Sifa ya kiwanja. Kiwe residential Ramani ya wizara ambapo gps zake inaonyesha residential.AU KIMEPIMWA KINA OFFA ISIYO NA MGOGORO NA WANANCHI. Kisiwe bondeni. Ukubwa kuanzia sqm 800.
Back
Top Bottom