Recent content by 2morrow

  1. 2

    Ni kweli nilikuwa mwenyekiti wa CHADEMA lakini sijawahi kuwa na kadi ya uanachama ya CHADEMA

    mkuu jipange sana,nafikil we ni bonge la msanii,punguza uongo
  2. 2

    Sheikh Ponda na ustaadh Mukadam watoa tamko kali.(Ponda amsifia Zitto Kabwe)

    huyu ponda nilidhani kaonewa,ila anapenda sana sifa,alicho kiongea ni marudio yale yale ya kuchochea vijana wakiislamu kufanya fujo barabarani
  3. 2

    Matumizi ya nguvu kupita kiasi kwa polisi ndio utaratibu wa kazi yao.

    yani jeshi la polisi limepoteza nidhamu kabisa,wanaboa!
  4. 2

    Pengo: Uovu ushindanishwe na Wema!

    nimeipenda sana
  5. 2

    Kikomo cha uvumilivu kwa taifa hili kinakaribia

    sikusoma unazungumzia nini,naona kama unajichanganya tu.
  6. 2

    Kutoka Olasiti - Arusha: Mazishi ya Marehemu wahanga wa Mlipuko na yaliyojiri

    nawasi wasi sana na uelewa wako na uchambuzi wa mambo
  7. 2

    Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

    tulieni na mtoe taarifa kamili sio kukurupuka tu.
  8. 2

    January Makamba

    ni sawa anafaa,tatizo ni magamba.
  9. 2

    Crazy world and Freedom fighter ( House of exile) dedication to Lwakatare

    tutapigana sana mpaka mwisho na nchi itakuwa huru tu.
  10. 2

    Tapeli linalozungumza lugha nyingi polisi wanahusika.

    hawa ndugu zetu sio walinzi ni wezi.
  11. 2

    Arusha kwatifuka; machinga wakinukisha

    hayo ndio maisha bora kwa kila mtanzania.
  12. 2

    Kadhi mkuu amkana Ponda

    ni sawa mkuu,lakini ukumbuke kuwa wakristu hawana chombo kinacho simamia madhehebu yote ndio mana hakuna kuingiliana,sasa bakwata ya nini nawakati madhehebu ya waislam ni mengi?hicho chombo kisimamie upande mmoja sio wote ni kuwanyima haki wengine.
Back
Top Bottom