ni sawa mkuu,lakini ukumbuke kuwa wakristu hawana chombo kinacho simamia madhehebu yote ndio mana hakuna kuingiliana,sasa bakwata ya nini nawakati madhehebu ya waislam ni mengi?hicho chombo kisimamie upande mmoja sio wote ni kuwanyima haki wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.