ww umeniongezea uchungu wa kuchagua mabadiliko.
Yaani kumbe Kingunge kasema ukweli pumzi imewaishia, ubinifu hakuna tena. Mnaishia kuona kila kitu hakiwezekani.
Nothing is possible if you are creative.
Yaan hauna ubunifu na pumzi imekuishia.
Pisheni akili mpya
mkuu niache akili ifanye kazi yake. yeye kasema kinyesi kiliwekwa kwenye sahani kikapekwa chumbani. hiyo choo na kinyesi chake na vinyeso vilivyobaki tutavifukia kabisa. najua chumba ni rahisi kusafishika kwa kuwa kipo katika sahani
kazi
akili yako inaona ukanda na ukabila tu!Sijui kwa nn watu wa CCM mmekosa akili kiasi hiki? Jiulize kuhusu chama chenu
Nani mwenyekiti, makamu Zanzibar, Karibu, manaibu wote 2, wenyeviti jumuiya ya wazazi,uvccm, uwt, wajumbe wa kamati kuu? mnatafuta huruma kwa udini na ukabila na ukanda ila sisi...
hajamkana huo ndo ukweli. inafika sehemu hata kana Dr tunampenda tunamweka pembeni kwa maslahi ya taifa na chama. Sasa tubaki kumbembeleza Dr kweli mapambano tutayaweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.