Jamani naomba kujua kama CRDB Bank wamesitisha kutoa mikopo ya watumishi na Biashara kwani nimeomba mkopo wa watumishi wiki ya tatu sasa bado hawajaingiza hela mpaka sasa wananipa story tu.
Hivi nyie mmelipwa kiasi gani na ccm washenzi wajinga tu. Hivi mnafikiri hili suala linahitaji hata elimu ili utambue kuwa kuna ufisadi? Mnapoteza muda tena kujiita wasomi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.