Recent content by 28October

  1. 2

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Kompyuta kwa bajeti ya Tsh 250,000-350,000

    Salama ndugu zangu, kwa machinga wa karume dar es salaam poleni sana. Nina shida na computer LAPTOP nzuri ambayo bei yake ni ya range 250,000/= (laki mbili na elfu 50) mpaka 350,000/= (laki 3 na elfu 50). pia nina shida na bettry ya computer aina ya TOSHIBA (PORTEGE R705) Location nilipo ni...
  2. 2

    JamiiForums Tanzania Apple imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya soko ya dola trilioni tatu

    Ukitaka kufa masikini tumia iphone
  3. 2

    JamiiForums Tanzania Apple imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya soko ya dola trilioni tatu

    Siipendi iphone, siipendi kwasababu inamaliza chaji na gharama zake zipo juu, habari ya mjini ni oppo sasahivi
  4. 2

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    na mimi pia naomba link
  5. 2

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    mungu wangu sipo
  6. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hii kapuni ya Tese & Techno Engineering

    ndio maana nataka kujua mkuu.
  7. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hii kapuni ya Tese & Techno Engineering

    google iyo kampuni haina website mkuu.
  8. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hii kapuni ya Tese & Techno Engineering

    sijajua mkuu, maana ata website hawana kabisa kiongozi
  9. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hii kapuni ya Tese & Techno Engineering

    nipe A-B-C mkuu kama unaijua..
  10. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hii kapuni ya Tese & Techno Engineering

    Habarini ndugu zangu, naomba kujua hii kampuni TESE & TECHNO ENGINEER japo kwa undani ili niweze kwenda maana wamenipigia simu niende kwenye interview na mimi nipo KATAVI KWA SASA, naombeni msaada wenu wakuu niijue iyo kampuni ilipo..
  11. 2

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    BAADA YA MAKATO IYO MKUU
  12. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua ajira za LNG Plant mkoa wa Lindi zinapatikana lini anijuze

    mkuu mbona naskia watu wanapiga kazi sasaivi uko
  13. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua ajira za LNG Plant mkoa wa Lindi zinapatikana lini anijuze

    Nini kinaendelea uko mkuu?
  14. 2

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua ajira za LNG Plant mkoa wa Lindi zinapatikana lini anijuze

    Habarini za asubuhi naombeni kujua huu mradi wa ela nyingi nimesikia umeanzishwa uko LINDI na nadhani utahitaji watu mbalimbali. Naomba kujua nafasi za kazi zinapatikana vipi uko, maana mimi nipo mbali kidogo nipo mkoani KIGOMA huku nilitaka kujua ili nijue naanzia wapi kutafuta kazi huko...
Back
Top Bottom