Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,069
- 2,000
Kabisa yaani ndugu zetu moshi wanateseka sana wanachezea kichapo
Kabisa yaani ndugu zetu moshi wanateseka sana wanachezea kichapo
Hata kama ndio anipige sasa hii hapana mkuuWe akikupiga furesh tu
Ila wewe ukiwa naye usiku msulubu kunako kitanda ....
Mwanamke apigwi migumi mituke we mpe mikito ya maana tu
Ova
Lakini zinaukweli ndani yake
Na unakuwa umeumaliza mwendoSiku hizi unaadhibiwa na mkeo
Hujakaa sawa mtoto anakumaliza kabisa.
Zingesifia zingeonekana kuwa nzuri na sio za kuchafuaTaarifa nyingi za mtandaoni huwa ni uongo na kuchafua wengine
Sasa we ukipiga utamumizaHata kama ndio anipige sasa hii hapana mkuu
Una very low reasoning capacity, badilisha vyakula vyakoWe akikupiga furesh tu
Ila wewe ukiwa naye usiku msulubu kunako kitanda ....
Mwanamke apigwi migumi mituke we mpe mikito ya maana tu
Ova
Bora aumie!Sasa we ukipiga utamumiza
We mtandike kivingine tu
Ova
Kumbe ni kweli mnapigwa eeeh?Kwani tukipigwa unapata hasara Gani wewe?
Ukiona wanakusema sema ujue wanakukubali Ila jinsi ya kukufikia ndio shida.Hizi habari za wanaume wa Kilimanjaro zinakuwaga Kama za uchonganishi hivi, Mara waseme Wanawake wa Rombo wanakodi wakenya kuwashughulikia, Sasa Ni Wanawake kutembeza vichapo kwa waume zao. Kama Ni kweli Kuna mahala wanaume wanakwama
Muwe mnaenda kushitaki.Kwani tukipigwa unapata hasara Gani wewe?
Mkuu asilimia kubwa ya Wachagga wanachapikaKilimanjaro ninavyoijua, labda limbwata lifanye kazi.
Hapa Wachagga inatakiwa watueleze ukweliHizi habari za wanaume wa Kilimanjaro zinakuwaga Kama za uchonganishi hivi, Mara waseme Wanawake wa Rombo wanakodi wakenya kuwashughulikia, Sasa Ni Wanawake kutembeza vichapo kwa waume zao. Kama Ni kweli Kuna mahala wanaume wanakwama
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us